Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Mkuu hapa uwanja wa ndege watu wanabubujikwa na machozi.

1:Kumuona mtu aliye pigwa risasi zaidi ya 16 kama tembo mharibifu wa mazao akirudi anatembea kwa miguu yake mwenyewe.

2:Jinsi wana nchi walivyo amua kujitokeza kwenda kumpokea kiongozi wao bila ya kuogopa mikwara ya polis hapo jana.

3: Hata baada ya miaka 5 ya kupigwa stop ya kutokutana kwa shughuli za kisiasa lkn bado watu wapo na mapenzi makubwa sana na cdm.

Hili jambo limewaliza sana watanzania.
Umelia peke yako, na tuonyeshe hizo picha za watanzania wakilia!!
 
Hutaki kunywa sumu tu
Yaani sisi tuko Uwanja wa Taifa, tunaomboleza, alafu wengine wanasherehekea kumpokea Lissu, hii sio sawa, CDM wanaharibu msiba wa Taifa kabisa, i wish i could be IGP.. [emoji28][emoji28][emoji28] ingekuwa story nyingine saa hz..[emoji28]
 
Angalau umekiri kuna nyomi, wenzako walikuwa wanasema Chadema huwa wanaandamana mitandaoni tu.
Hiyo ni nyomi ya kawaida sana kwa standard za Tanzania.

Kero ndio watu awataki hope huo umati amtarajii muende nao mpaka mjini halafu naona kuna mtu alikuwa kapanda juu airport anahutubia sijui ana hamasisha nini mjue tu mkisimama barabarani na kufanya ivyo hakuna wakumlaumu jamaa wakichoka kuwavumilia.
 
Na hiko ndicho kinachomuuma Meko yaani watu ni sawa Ila sio kwa wingi huu halafu na bado walionywa

Corona imepungua, ila hawa CDM supporters wengi hivi si wanaweza ongeza kasi kubwa ya maambukizi, nadhani mashtaka yatajengwa on that basis.. 😅😅
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom