Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Tatizo Chadema huwa hamfuatilii maagizo ya serikali Rais katangaza tangu siku anazindua jengo last tume ya uchaguzi kuwa mikutano na mikusanyiko ya kisiasa RUKSA. CHADEMA SHEEEDA
 
Watanzania huwa ushabiki mwingi tu ka wa Simba na Yanga watu wakitoka wanatulia majumbani, nidhamu ka hii imgetumika hivi ungekuta Tundu lissu hajapigwa risasi nyingi na image ya nchi isinge chafuka hvo Hadi kukosa misaada kizembe, itakuwa tu ni wahuni wachache wasio wazoefu walipanga Hilo shambulio la ajabu kwa nchi yetu
Tunataka report ya uchunguzi sio kujitetea kwenye mitandao,
 
Kumbe mnajua kuwa hawezi eeh?

Bow down bitches [emoji1787][emoji1787]
Ukiangalia ule umati wa watu unajiuliza ikiwa barua za kuomba kibali zingekubaliwa Daresalam leo ingekuwaje.!
Ni wengi hawajafika kumpokea lissu kutokana na uoga wao.
Kinachosikitisha ni kuwa kumbe ni watanzania wengi sana wanaugulia maumivu moyoni.
Tulizoea kusema wanaoumia ni wale waliokuwa mafisadi enzi zile, lakini umri ulioonekana kwenye video mbalimbali za mapokezi ya lissu ni umri wa vijana ambao nadhani wengi wao hata hawajawahi kuwa kwenye ajira rasmi.- hii ni moja ya ajenda inayotakiwa kupewa kipaumbele na uongozi wa vyama vyote.
 
Nabii Lissu ana maono ambayo wengine wote hawaoni... aliona viashiria vyote vya udikteta akasema huyu jamaa ni dikteta uchwara......

Bahati mbaya sn anarudi huku jamaa akiwa dikteta kamili kuanzia kwenye chama chake mpaka kwenye mihimili yote ya dola imewekwa kiganjani mwake......

TUNDU Lissu ndiye pekee wa kurejesha misingi imara ya taifa. Aanze na kufumgua kesi ya kikatiba kufutwa kwa maamuzi ya kuruhusu baadhi ya watz kupewa ruhusa kisheria kuvunja katiba ya nchi bila kushitakiwa....
 
Ukiangalia ule umati wa watu unajiuliza ikiwa barua za kuomba kibali zingekubaliwa Daresalam leo ingekuwaje.!
Ni wengi hawajafika kumpokea lissu kutokana na uoga wao.
Kinachosikitisha ni kuwa kumbe ni watanzania wengi sana wanaugulia maumivu moyoni.
Tulizoea kusema wanaoumia ni wale waliokuwa mafisadi enzi zile, lakini umri ulioonekana kwenye video mbalimbali za mapokezi ya lissu ni umri wa vijana ambao nadhani wengi wao hata hawajawahi kuwa kwenye ajira rasmi.- hii ni moja ya ajenda inayotakiwa kupewa kipaumbele na uongozi wa vyama vyote.
Uwepo wa Boda boda wengi ni kiashiria tosha kua

MBWA WA CCM wamelisahau hili kundi muhimu.
 
Pamoja na kuvunjwa ila bado wapo imara
IMG_20200727_143457_486.JPG


Sent from my G-PADLITE using JamiiForums mobile app
 
Kati ya intelijensia zote tatu hii ya mamlaka za nchi ndio inaangaliwa kwa karibu mno kwakuwa chochote itakachokifanya kitaonwa na kusikika kimataifa. Hapa ndio panahitajika kuwa na washauri wenye weledi mkubwa na hekima ya kuamua mambo ya kitaifa
Nu vema intelijensia hii ikazishauri mamlaka ziruhusu mapokezi bila fujo na bila kutunishiana misuli, watakuwa wamefanya jambo moja kubwa sana.View attachment 1518610

Jr[emoji769]
Sio tatizo lake, tatizo kichwani kuna Mavi
IMG_20200727_165126.jpg
 
Mkuu Lisu alilishwa matango pori kuwa Tanzania Kuna Corona ya kufa mtu kashuka kavaa barakoa anashangaa wanaompokea hawajui hata Corona ni nini?

Tanzania we are zero corona message iwafikie CNN, BBC, Aluazeera, DW etc ushahidi Lisu na Barakoa lake na waliompokea wasio na barakoa
Mbona kumuaga Mkapa uwanja wa Uhuru kuna watu wanavaa barakoa na wao wemetoka Belgium 🇧🇪
 
Kati ya intelijensia zote tatu hii ya mamlaka za nchi ndio inaangaliwa kwa karibu mno kwakuwa chochote itakachokifanya kitaonwa na kusikika kimataifa. Hapa ndio panahitajika kuwa na washauri wenye weledi mkubwa na hekima ya kuamua mambo ya kitaifa
Nu vema intelijensia hii ikazishauri mamlaka ziruhusu mapokezi bila fujo na bila kutunishiana misuli, watakuwa wamefanya jambo moja kubwa sana.View attachment 1518610

Jr[emoji769]
Huyu musiba ndio maana wajumbe walimkata anataka kuwa kiongozi huku Hana uvumilivu wa different opinions?
 
Hahahaaaaa

Magufuli oyeeeee

Mbele ya Magufuli hata corona imecheua.
Naona kwa huruma unajifariji baada ya kushtushwa isivyo kawaida na mapokezi ya Lissu.
Polee sana kijana. Mwisho wenu ndo umekaribia, uliacha ukweli ukafuta ukabila sasa kwa taarifa yako leo mlichokiona ni kidogo sana, October yaliyotokea Malawi yanaenda kutokea Tanzania.
 
Naona kwa huruma unajifariji baada ya kushtushwa isivyo kawaida na mapokezi ya Lissu.
Polee sana kijana. Mwisho wenu ndo umekaribia, uliacha ukweli ukafuta ukabila sasa kwa taarifa yako leo mlichokiona ni kidogo sana, October yaliyotokea Malawi yanaenda kutokea Tanzania.
Jipe moyo tu!
 
Back
Top Bottom