welcome SIRPamoja na kuvunjwa ila bado wapo imara View attachment 1518616
Sent from my G-PADLITE using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
welcome SIRPamoja na kuvunjwa ila bado wapo imara View attachment 1518616
Sent from my G-PADLITE using JamiiForums mobile app
“Mala” ndo nini na wewe?huku watu wanakufa kwa corona wanapachikwa ugonjwa mwingine, mala utasikia moyo.........
Ulisikia wapi?? Kale ka emoja ka ulisikia wapi nani mwenye mako??Jamani eeeh, msisahau tuna msiba mzito!!
Mark my words. CCM mnaenda kabidhi nchi kwa Chadema hapo October 2020. Amini nakwambiaJipe moyo tu!
HUYU JAMAA NI WA KUPUUZA! Ningeshangaa kama wazee wa kufanya yao A.K.A "WAJUMBE" kule Mwibara wangempitishaKati ya intelijensia zote tatu hii ya mamlaka za nchi ndio inaangaliwa kwa karibu mno kwakuwa chochote itakachokifanya kitaonwa na kusikika kimataifa. Hapa ndio panahitajika kuwa na washauri wenye weledi mkubwa na hekima ya kuamua mambo ya kitaifa
Nu vema intelijensia hii ikazishauri mamlaka ziruhusu mapokezi bila fujo na bila kutunishiana misuli, watakuwa wamefanya jambo moja kubwa sana.View attachment 1518610
Jr[emoji769]
No wonder hata CCM ameambulia 0 ... Huyu Msiba akili hana halafu roho kapata ya shetani....!!Kati ya intelijensia zote tatu hii ya mamlaka za nchi ndio inaangaliwa kwa karibu mno kwakuwa chochote itakachokifanya kitaonwa na kusikika kimataifa. Hapa ndio panahitajika kuwa na washauri wenye weledi mkubwa na hekima ya kuamua mambo ya kitaifa
Nu vema intelijensia hii ikazishauri mamlaka ziruhusu mapokezi bila fujo na bila kutunishiana misuli, watakuwa wamefanya jambo moja kubwa sana.View attachment 1518610
Jr[emoji769]
Tafuta kamusi kama huna muombe mmeo“Mala” ndo nini na wewe?
Pointi yako ni nini??Mkuu Lisu alilishwa matango pori kuwa Tanzania Kuna Corona ya kufa mtu kashuka kavaa barakoa anashangaa wanaompokea hawajui hata Corona ni nini?
Tanzania we are zero corona message iwafikie CNN, BBC, Aluazeera, DW etc ushahidi Lisu na Barakoa lake na waliompokea wasio na barakoa
Kwa hiyo msemaji wa polisi alikuwa anapingana na Magufuli?Tatizo Chadema huwa hamfuatilii maagizo ya serikali Rais katangaza tangu siku anazindua jengo last tume ya uchaguzi kuwa mikutano na mikusanyiko ya kisiasa RUKSA. CHADEMA SHEEEDA
Hujafa hujaumbika..Kwa huyo kilema!
Wageni gani?? Hawa hawa wa Burundi, Rwanda, Sudani na Wengine kutoka Somalia ndio wamuogopeshe Magu?? No, big No!Kuna wageni huwezi kuanika uchafu wako nje nje.
😀😀😀😀Leo CHADEMA walijua watatikisa jiji kwa umati lakini hawaamini kilicho tokea, kati ya wakazi zaidi ya milioni 6 waishio jijini, wameambulia watu chini ya 1000 na wengi wao wakiwa ni viongozi toka mikoa mbalimbali.
Walijipanga sana huku wakisindikizwa na kelele za vyombo vya mabepari na chombo chao hiki cha JF (maana sikuhizi JF imekuwa sehemu yao) ila Watanzania wameonesha kuwa hawana mpango nao.
Nimeshuhudia Lissu akishangaa jengo lakisasa Terminal 3, ilibaki kidogo aseme CCM hoye, namsihi baada ya kukatwa na CHADEMA atembelee miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali hii kisha aende kisutu akiwa na dereva wake bila shuruti kujibu mashtaka yanayo mkabili.
cc
jingalao mng'ato na wazalendo wengine
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23]“Mala” ndo nini na wewe?
Wachache sana. Ulitaka waende wengi kwani huko kuna sanduku la Kura?Mbona hata siyo wengi