Mambo ya baikoko pale Tanga Barabara ya 20, watoto wakiume wa tanga wengi milenda na sotojo, mtoto wakiume mweupe kichwani bleach, shingoni tatoo ya apple🍏 vidoleni kapaka ina, mguu mmoja kikuu.Nimeishi pwani mkuu usemacho ni sahihi ile michezo sijui ngoma/vigodoro ni aibu tu yaani wanabambiana hadi chini na sio kubambiana unakokujua wewe yaani ni matusi mbele ya watoto.Mdada aliye shindikana ana mwagiwa maji na ndani hajavaa kitu aibu lakini wenyeji ndo furaha kwao
Hahaha.....Taarabu ni mziki tu. Sema ndio hao wajaa laana na wao wanaupenda. Haimanishi kila mpenzi ni mjaa laana.Kuna kaka aliwahi ishi Zanzibar miaka ya 2002 akaniambia mwanaume akipenda Taarabu huyo hata kama ni rafiki Yako achana nae.Ndo kama hizo Sasa miaka zaidi ya20 aliniambia bro
And "I'm proud to be an Islam"Zanzibar wamejaa tele, idadi yao inazidi idadi ya minazi pale Zenji
But still in terms of % bado mikoa ya Pwani ina lead hi. Haiwezekani Mara au mikoa mingine ya bara kusiwe na shoga hata 1; that much will not be possible. As we speak, Zanzibar, Tanga, Mombasa, Pwani, Morogoro, Dar ndio mikoa inayo changia pakubwa kwa kua na idadi kubwa ya mashoga. Huhitaji darubini kulijua hiloYule aliyekuwa boss wa Voda aliyekuwa Chele alikuwa kutoka huko huko kwenu Mara...na watu wanatwanga, Kama hujui vitu kausha....
Naunga mkono hoja.Zanzibar wamejaa tele, idadi yao inazidi idadi ya minazi pale Zenji
Kuna chama cha siasa kinaneemeka na hayo yoteKwa maana hii Dar mambo haya yamebarikiwa na wakazi wake maana hii sio kificho Tena.
Bali mambo hadharani kama wanavyosema msondo ngoma.
Lakini mkicheka na Nyani siku ya mavuno mtavuna mabua!
View attachment 3185086
MKUU NMEKAA MBEYA 3YEARS PALE MAMA JOHN KUNA MASHOGA ZAID YA NANE YOTE MAKRISTO HAPO NI MAMA JOHN TU SEHEMU NDOGO NA NAWEZA KUWATAJA KWA MAJINA MAANA NI MAARUFU NA UKO NYANDA ZA JUU KUNA NUKA MAVISehemu yeyote walipo jazana waislam ndipo utakuta wacheza uchi, mashoga ,watikisa matako bila chupi na mengi yafananayo, huwez kukuta ujinga wa hivyo mikoa kama mwanza,mbeya,mara,kagera,iringa,rukwa ,geita,simiyu,njombe,
Hayo utayakuta pwani ,dar, tanga,mtwara,lindi nk kama huamini fanya utafiti wako
Ni hadharani hapo?Sasa kwanini wavae vimini na kucheza taarabu huko pwani pekee na bara wasifanye hivyohivyo hadharani?
Huoni wakija pwani wanaungwa mkono na kufanya hadharani
Bro alikuwa na maana. Ule mziki hata cheza yake imekaa kimama mama lazima uachanishe vidole ndo inogeHahaha.....Taarabu ni mziki tu. Sema ndio hao wajaa laana na wao wanaupenda. Haimanishi kila mpenzi ni mjaa laana.
Hapana ni uvuguniNi hadharani hapo?
Yanapendwa mno na wanawake haya machokoHiyo yote inatokana na malezi. Hao wanawake nao si wako comfortable kabisa kuona wanaume pia wamekuwa kama wao?
Hatari mnoHii ni hatari, mwingine anacheza huku anajiangalia maeneo ya nyuma!!!,eeh mungu tunakuomba ukinusuru kizazi hiki kijitambue ili kijinasue katika janga hili.