Video chafu IPI? Akiwa anafanywa nini wapi?Nimeona kule Instagram Hadi unaogopa aisee maana MANGE anadai kuwa ana video chafu ya MAZA .
MANGE mwenyewe anasema kuwa akiachia hii video nchi itatemeka na yeye atakuwa hatarini kufa
Uanaharakati wa Haki za binadamu Nchi hii ni kutetea Upinzani unless huwajui.Kwa uzoefu wangu viongozi wengi ni watu waliopitia mateso makali nyakati za utotoni.yaani ukifuatilia utakuta waliwahi kunyanyaswa na wazazi au walezi kwa namna flani lakini kwa baraka za Mungu waliweza kuvumilia mateso hayo na hatimaye wakaibuka kuwa wasemaji na watetezi wa hali zisizo na usawa katika jamii.
Aghalabu niseme kuwa viongozi wetu wengi wa sasa walipita hali hiyo ngumu maishani japo kwa sasa tutaanza kuona viongozi artificial wanaoandaliwa toka utotoni.
Kwa muktadha huu sio jambo jema kuwadhalilisha kwa matusi ya nguoni kwani kwa kufanya kunaibua machungu waliyopita awali.
#Hoja kuntu#
Wale wanaoitwa wanaharakati wanafurahia mwenendo huu? Mbona siwasikii katika masakata ya kuwatusi viongozi??
Kama wamekaa kimya sasa basi wakae kimya pale hatua kali na fundisho zitakapochukuliwa na viongozi wanaoumizwa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Makonda kasema Mwigulu Nchemba ndiye anayemlipa Mange Kimambi.
Bimaza walikua wanamfanya nini wakamrekodi na video huyo Mange ana nini lakini nasikia michezo hio walimfanyizia Baba yake wakamla kibogaNimeona kule Instagram Hadi unaogopa aisee maana MANGE anadai kuwa ana video chafu ya MAZA .
MANGE mwenyewe anasema kuwa akiachia hii video nchi itatemeka na yeye atakuwa hatarini kufa
Hakuna mwanaharakati wa viongozi wa Serikali. Hao wana chawa wao kama wewe, kwanini wewe usipaze sauti yako publicly badala ya kuja JF?Kwa uzoefu wangu viongozi wengi ni watu waliopitia mateso makali nyakati za utotoni.yaani ukifuatilia utakuta waliwahi kunyanyaswa na wazazi au walezi kwa namna flani lakini kwa baraka za Mungu waliweza kuvumilia mateso hayo na hatimaye wakaibuka kuwa wasemaji na watetezi wa hali zisizo na usawa katika jamii.
Aghalabu niseme kuwa viongozi wetu wengi wa sasa walipita hali hiyo ngumu maishani japo kwa sasa tutaanza kuona viongozi artificial wanaoandaliwa toka utotoni.
Kwa muktadha huu sio jambo jema kuwadhalilisha kwa matusi ya nguoni kwani kwa kufanya kunaibua machungu waliyopita awali.
#Hoja kuntu#
Wale wanaoitwa wanaharakati wanafurahia mwenendo huu? Mbona siwasikii katika masakata ya kuwatusi viongozi??
Kama wamekaa kimya sasa basi wakae kimya pale hatua kali na fundisho zitakapochukuliwa na viongozi wanaoumizwa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Makonda ndiye kasema siyo mimiUnsmsingizia Madelu hana siasa za kishamba za kutukana wakubwa wake wa kazi madelu muoga muoga wakina january wanajifanya watoto wa mjini
Kina January hacheni kumtukana Raisi ni kweli tunajua uraisi unautaka afe kipa afe beki lakini wakati wako utafika
Sasa huyu Mzungu ndio Yesu?MTAFUTE SANA YESU ATAKUWEKA HURU KWELI KWELI NA UTAHESHIMIKAView attachment 2963123
mbona kpind cha magu hamkuibuka, hz nchi za weusi ukicheka na kima hutoboi, rwanda iko ilivo sababu PK hachek na kima.Wewe ni mpumba.vu..
Na kwa taarifa yako, akipoteza wawili unaosema wanaibuka zaidi ya ishirini.
Mange anacheza na akili za wajinga kama wewe.Nimeona kule Instagram Hadi unaogopa aisee maana MANGE anadai kuwa ana video chafu ya MAZA .
MANGE mwenyewe anasema kuwa akiachia hii video nchi itatemeka na yeye atakuwa hatarini kufa
Huwezi kuwa na akili timamu ukatetea wauwaji.mbona kpind cha magu hamkuibuka, hz nchi za weusi ukicheka na kima hutoboi, rwanda iko ilivo sababu PK hachek na kima.
Wewe ni Fala Tu umeona wapi nimesapoti?Mange anacheza na akili za wajinga kama wewe.
Mtu mwenye akili timamu huwezi kumsapoti kichaa kama Mange.
Issue ya Baba yake kuliwa nadhani ndio Kisasi chake ni Kwa kila mtu.
Hayuko Sawa kisaikolojia, Baba yake alimpenda Sana sasa kinachomtesa ni yalimtokea Mzee wake Kisasi analipa Kwa wengine wasiohusika na alichofanyiwa Baba yake.
Hapana Mange kavuka mipaka. Sukuma gang wanamtumia mangeDuh
Hili sasa ni zaidi ya balaaa
Embu mtaje mmoja waoHapana Mange kavuka mipaka. Sukuma gang wanamtumia mange
hawa wanaotetea mtu kutembea uchi wakemee hiki kinachoendelea kweli? Ili wanyimwe pesa na mabwenyenye? πKwa uzoefu wangu viongozi wengi ni watu waliopitia mateso makali nyakati za utotoni.yaani ukifuatilia utakuta waliwahi kunyanyaswa na wazazi au walezi kwa namna flani lakini kwa baraka za Mungu waliweza kuvumilia mateso hayo na hatimaye wakaibuka kuwa wasemaji na watetezi wa hali zisizo na usawa katika jamii.
Aghalabu niseme kuwa viongozi wetu wengi wa sasa walipita hali hiyo ngumu maishani japo kwa sasa tutaanza kuona viongozi artificial wanaoandaliwa toka utotoni.
Kwa muktadha huu sio jambo jema kuwadhalilisha kwa matusi ya nguoni kwani kwa kufanya kunaibua machungu waliyopita awali.
#Hoja kuntu#
Wale wanaoitwa wanaharakati wanafurahia mwenendo huu? Mbona siwasikii katika masakata ya kuwatusi viongozi??
Kama wamekaa kimya sasa basi wakae kimya pale hatua kali na fundisho zitakapochukuliwa na viongozi wanaoumizwa.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Mange hajafanya vizuri kumkosea mama yetu heshima. Mama Samia Mungu akulinde akupe afya furaha na maisha marefu.Mange ni balaa... Anarusha matusi kwelikweli..
Niliona Shilole akijaribu kujibu mapigo... Lakini wapiii..
Amia Rwandambona kpind cha magu hamkuibuka, hz nchi za weusi ukicheka na kima hutoboi, rwanda iko ilivo sababu PK hachek na kima.