Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Nenda mahakamani, nikwambie kitu master, Katiba hata ikiwa nzuri kiasi gani haiwezi kuwafanya watu wasio na maadili wawe na maadili.Wakijimilikisha hata kinyume cha katiba ya sasa utafanya je?
Wanajeshi wanajitambua hawawezi kufanya upuuzi huo, hao ni watu wa Idara nyingine.Unyanyasaji huu wa vyombo vya dola haukubaliki.
View attachment 2182373
Kwanini sheria za nchi zilizopo hazifuatwi?
Kwa hakika tuungane kuukataa ubazazi wa namna hii.
Mi ningesimama kisha waliposema paki pale ningenyooka speed 100 😅😅😅 yani labda kama angekuwa na muda wa kunikimbiza😀Anasimamaje kiboya hivyo,angesepa zake ,
Wanajeshi wanajitambua hawawezi kufanya upuuzi huo, hao ni watu wa Idara nyingine.
Wahuni waleHii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.
Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?
Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.
Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.
Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.
Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.
View attachment 2182358
Amekosea kuchukua video eneo la usalamaKwanini hao wanajeshi wasinge mtaarifu kuwa hapa haparuhusiwi kupiga picha?
Wao si ndiyo walio mtakatifu kuingia huko? Kwani yeye alikuwa na biashara huko?
Taratibu zao dogo ambaye hakuwa na ugeni huko angezijulia wapi?
PGO yao inasema je?
Dogo mshamba sana awamu hii unaweza ukala shaba tu na ukazikwa bila kelele hata uende ukashtaki vipi. Utaunganishwa kwenye special task flani kesi iishe kimya kimyaHuyo dada mwenye kombati alivyo mpuuzi badala ya kumtajia kosa lake anamwambia chuchumaa.
Unatakiwa kumwambia kama yupo under arrest na kosa alilofanya,na wewe unayemkamata ujitambulishe na uoneshe kitambulisho
Watu wengi ni forgery siku hizi,kuvaa kombati haitoshi.
Halafu huyo dogo naye ni shida pia.Eti nitatoka tu mjomba angu ni mbunge!!!
Anajua aliyeandika uzi huu alimaanisha wa Jeshi lipi!Hata mgambo ni wanajeshi mkuu au wewe ulimaanisha w jeshi lipi?
Achukue video wakati baba yake fundi viatu unafikiri akitiwa nguvuni atapanda linu tena hio IST?Hii nchi hii bana MJOMBA WANGU MBUNGE😄😄
Mshkaji wake kaogopa kuchukua video.
Amekosea kuchukua video eneo la usalama
Angekimbia tu wala hamna ambaye angeshughulika nae😅
Anajua aliyeandika uzi huu alimaanisha wa Jeshi lipi!
😂😂😂akamshauri mshkaji aombe tu msamaha yaishe.Achukue video wakati baba yake fundi viatu unafikiri akitiwa nguvuni atapanda linu tena hio IST?
Tuma number yako ya Whatsapp nikurushieNifanyaje niweze kuona hiyo video!?
Vinaweza kuwa vyoteHilo ni swali au ni jibu ndugu?
Sometime ni bora kujifanya mjinga tu😂😂😂akamshauri mshkaji aombe tu msamaha yaishe.
#usalamaTANZANIA
Na maisha yanasonga vizuri tu Mkuu😄😃Sometime ni bora kujifanya mjinga tu
Vinaweza kuwa vyote