Hiyo Katiba mpya sijui itakuwa na page ngapi maana kama mpaka mambo ya kupiga picha itakuwa humo!!Hata kama kuna evidence kuwa picha uliyopiga ina element za jinai?
Ndo sababu katiba mpya ni muhimu sana kuna vitu vikewekwa ili ukihoji ujikute upo matatizoni , just kwa ajili ya nterst za viongozi.
Kuna mbunge aliwahi kuhoji inakuwaje mikataba mingi mibovu ya serikali ilikuwa na muhuri wa 'confidential'
Kibeberu tena mjomba? Majibu yako yanafuata kwa lugha yako sasa:What's the difference?
Umemaliza kila kitu. Polisi ni vile wana dili na watu moja kwa moja. Si hao wala askari jeshi wote ni pipa na mfuniko.hawa watu hawanaga tofaut na policc,, ni vile tu policc wanadili na raia moja kwa moja ndo mana wanaonekanaga wakosaji daily
lkn hawa wanajionaga miungu watu sana
AK zingekuungia, mwisho mistaken IDMi ningesimama kisha waliposema paki pale ningenyooka speed 100 [emoji28][emoji28][emoji28] yani labda kama angekuwa na muda wa kunikimbiza[emoji3]
Wapo siri, wapo ambao wanafahamika.Usalama wa Taifa yeyote ni Siri. Ni Siri yake na Taasisi not anything else.
Sent from my MYA-L22 using JamiiForums mobile app
Mi askari yoyote huwa simletei ubishi, najifanya mkosaji namuomba msamaha maisha yanasonga, hawa jamaa wa inferior complex....ile mizoezi yao afu mishahara kidogo wanaweza kutolea wewe hasiraHuvunjiki popote yani, kuepuka un-neccessary fights ni hekima ambayo tumejaaliwa watu wachache mno.
Tunawajua jamaa ni wapenda sifa na katika mizania tu dogo yupo katika risk kubwa kuliko alivyokuwa anadhania. Yani hapo angeweza kufanywa jambo baya tu style ya Akwelina ile sababu ya kuvimba tu kusiko na maana. Nobody cares this time around.
Hakuna polisi anajiita mjeshi mjomba. Japo wanatamani kuwa wanajehi, pili wanajeshi, hizo ni porojo tu za kisiasa. Wanajeshi wote wapo kwenye wizara ya ulinzi. Hakuna nchi ambayo ina wizara zaidi ya moja yenye majeshi duniani kote.Kichekesho. Ndiyo maana "ujui" ni msamiati rasmi kwako.
Ulibahatika kufika hata shule ya kata kweli mjomba?
Kwamba hata majeshi ya polisi, magereza, zimamoto, na binamu zao ndiyo unasikia leo?
Majengo yao tunayajua kupitia watoto waoWewe umejuaje hizo ni ofisi na premises za Usalama wa Taifa?
Kuna kibao, bango, alama au maneno gani yanayopatambulisha hapo kama eneo la Usalama wa Taifa?
Aisee Achikoyo safi sana umempa za uso, mimi hivyo hivyo kuna muda tulizinguana akitaka kulazimisha kwamba mgambo, Polisi, Magereza na vyombo vingine kwamba wote ni Wanajeshi. Haiwezi kuwa hivyo hata siku moja Mwanajeshi atabaki kuwa Mwanajeshi, Mgambo kama Mgambo vivyo hivyo na wengine.Kweli kiswahili kigumu, ulishasema Mgambo Mimi nikuambie kuwa kuwa Mgambo ni Mwanajeshi tena?
Kwa taarifa yako kwa vile ujui kama ujui leo sasa nakufahamisha kuwa Kuna wanajeshi, Kuna polisi, Kuna TISS, Kuna magereza, zimamoto, uhamiaji, wanyama pori na wengine.
Hacha kubabaishwa na maneno ya kisiasa hayo., Wote hao wakisimama pamoja akatokea mtu akasema wanajeshi wasimame kulia, hakuna polisi wala TISS atakaechomoa pua yake kwenda kulia. Wewe kama polisi utabaki kuwa polisi tu.
Hakuwa na makosa! SI amesema Hapo kabisa Jamaa kamchomekea kwenye Traffic light!Najua hawapendi nzi.....
Najua hawawezi shoot yeye sio muhalifu.
Ni bora usababishe jam, ila sio uingie Ndani kwao.
Japo inaonekana Huyu Dogo ( nahisi ni kijana mdogo) alikuwa na makosa.....
Na ana kiburi chake binafsi cha hadi ya familia aliyotoka.
Hakuna polisi anajiita mjeshi mjomba. Japo wanatamani kuwa wanajehi, pili wanajeshi, hizo ni porojo tu za kisiasa. Wanajeshi wote wapo kwenye wizara ya ulinzi. Hakuna nchi ambayo ina wizara zaidi ya moja yenye majeshi duniani kote.
Bora warudishe JKT na mgambo ndio Watanzania wataelewa maana ya Jeshi, wengi wanadharau mgambo Polisi,TISS, Magereza, wakati ndio kikosi cha Askari wa miguu (infantryman)Kutokujua kwako maana ya neno "jeshi" should that be our problem?
Pole lakini. Neno "jeshi" ni kiswahili. Google au tafuta kamusi.
Haya tuambie sasa huyo dogo kafanya kosa na hukumu ni ipi?Unaelewa ni kosa kuvunja sheria hata kama huijui?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kuna miaka fulani ya nyuma kipindi natumia sana kinywaji tupo bar fulani hapo dar hao maraia yalikuwa 6 yalitaka kuleta mzozo sisi tulikua 2 tuliyadhibiti sana ila uharibifu ulitokea kidogo kwenye ile barWapuuzi saaanaaa
Kupiga picha maeneo ya usalama.Haya tuambie sasa huyo dogo kafanya kosa na hukumu ni ipi?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app