Wangesimama hapo waite askari wa barabarani kweli tungeona kuna haki inataka kutendeka. Lakini mtuhumiwa kuanza kutumia mamlaka yake inaleta walakini mwingi. Kurekodi tukio hakuna sheria inayokataza.
Wangesumbua traffic bure manake tayari walishahama eneo la tukio scene of crime/loqus in quo......
 
Duuh! ama!
 

Unateseka na kutojua kiswahili ukiwa wapi?
 
Warudishe wasirudishe. Polisi, TISS na Magereza sio wanajeshi. Nchi nyingine polisi wanaitwa department au service tu.
Bora warudishe JKT na mgambo ndio Watanzania wataelewa maana ya Jeshi, wengi wanadharau mgambo Polisi,TISS, Magereza, wakati ndio kikosi cha Askari wa miguu (infantryman)
 
Kitimoto kimeingiaje tena hapa? Kwa nini wewe unateseka watu wakijisosoma kitimoto na vinywaji vyao pendwa?!
Maswali ya kijinga hayo. Kule ni kujimwambafai kijinga.

Utakuta lile jamaa limeshakunywaa za mchana, maana hata mwili wake unaonesha umevimbishwa kwa nguruwe na K vant.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…