Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Mambo kama haya ya utayakuta kwenye shithole countries!
Nchi zilizoendelea ni nadra sana kukutana na wanajeshi mtaani.
Hao ni wanausalama mkuu, JW haina combat dress kama hii
IMG-20220410-WA0042.jpg
 
Kuna fala mmoja huwa anajifanya au sijui ndio security wa Taifa kweli!!!? Nilikuwa nasikia sana tabia zake za kuwa akikutaa bar unakunywa na yeye anaagiza kama uvyokunywa wewe kisha anasema utalipa wewe,.
Bahati nzuri mimi sinywi ila nikasema hasirogwe kuingia katika anga zangu za aina yoyote hile.
Siku moja nikaenda bar na rafiki yangu mmoja alikuwa ananywa zake bia mimi nikiwa nakunywa sparletar yangu mara jamaa kaja na kama kawaida yake siku hiyo akafikia kwenye point yetu. Akatusalimia akaenda counter kaagiza na yeye bia zake kama za jamaa yangu na kumwambia counter kuwa watalipa wale pale akituonesha sisi.
Baada ya sisi kumaliza yetu tukaomba bill ilipoletwa tukaona bill imekuja mara dufu, nilipooliza tukajibiwa kuwa na pombe zile pale. Mimi nikamwambia sisi hatumfahamu alipe mwenyewe, baada ya hapo jamaa si akaja akatuuliza kwa nini hatutaki kunilipia?
Nikamuuliza tukulipie wewe una tatizo gani? Nae akatuuliza kwani nyinyi hamnifahamu, na Mimi nikamuuliza "sisi unatufahamu?" Nikamwambia ondoka kabla sijakushia dhahama, wakati huo watu wametunguka wakisilizia. Naona kaondoka uku akisema "mtanijua tu"
Juzi nimekutanae barabarani nashangaa kanisalimia bro za ziku?
Nikajifanya sikumsikia.
Duh! Hivi nchi hii bado kuna watu wapumbavu namna hii? Kwahiyo siku zote alikuwa akiwaonea watu nao wanakubali tu kumlipia bills ambazo haziwahusu?

Huyo jamaa anaweza kuwa tapeli siyo Usalama wa Taifa per see, how comes? Hizi ndio kazi zao kweli?

Kama alikuwa ameshawafanyia hivi watu wengi kwanini alikuwa hachukuliwi hatua? Watu wengi wananyanyasika kwa kutokujua sheria na haki zao.

Ulichokifanya ni kizuri sidhani kama aliendelea kuwaonea watu.Inasikitisha sana.
 
Kila siku nasema njoo mwananyamala pale Royal wanaeka vitambulisho mezani au wakilewa pale Serengeti baa na kuna ingine mpya tunawaokotea na kukabidhi kaunta. Maadili hayapo kabisa
Hapa maadili ni sifuri.Ndio wale wale kamlete hawakufanyiwa vetting ya uhakika. Wanadhani kuonyesha vitambulisho au kazi zao wataonekana mashujaa.
 
Huyo TISS feki. Tunao wajua hawana tabia hizo. Kwanza ni kinyume na taratibu za idara.
Ninakubaliana n wewe, TISS wa ukweli hawanaga haya mambo wala muda wa kujionyesha labda ni informer huyo ndio maana anahangaika kujulikana
 
Wote wamekutana washamba na huyo aliyerekodi naye mara anadai mjombawake sijui mbunge sasa ubunge ndio nini, hapo wote mazuzu , nchi inahitaji overhall kubwa sana katika kila sekta.
 
Hiv unawajua wabongo vizuri kweli!? Huwa wanaomba samahan ata kama wao ndio wamekosewa ilimladi tu wajue huyo mtu ni mkubwa wa kitengo flan (kifedha au kicheo)

Nimekuelewa chief.

-Kaveli-
 
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358
BREAKING NEWS!!!!
IMG-20220411-WA0058.jpg
 
Hayo ni mawazo yako.
Ndiyo maana mnadai haki wakati mnajiachia kwenye haki zenu.
TISS anahusikaje na kukusimamisha.
Kama upo kijijini ni sawa
Lkn ktk misafara yao ukiingilia ukadai taa inakuruhusu watakuchekea? Raia umeshapewa push up, umemwagiwa maji umegalagazwa kwenye rope unaachiwa unajisifu!!!
Hata km wamekosea kinidhamu Raia hujulishwi ndio maana Polisi akiua unaambiwa marehemu jambazi alitoroka.
Kuna ugumu gani kutii kuokoa muda wako?
 
Ila haya mambo ni ya ovyo sana ivi umevaa kiraia unashuka kwenye gari una attempt Dentation ivi what if have a gun in my car nikatoa na kukuona wewe ni threat then nikushoot kutakuwa na Malalamiko, Regardless nipo kwenye Geti gani kwani hawa watu hawajui taratibu mpaka wafanye ivo!!?
 
Utaratibu unatakiwa uende ukaripoti kwa mkuu wa kambi kwamba umeharasiwa na huyo jamaa hatua za kinidhamu maana uthibitishi unao hapo
Wanateteana...miaka ya nyuma kuna ndugu yangu alishawahi kutapeliwa hela akitaka kwenda kambini wanamzingua mapema tu hata ofisini hafiki
 
Sheria inaruhusu mtu yeyote kufanya arresting!

Hata wewe unaweza kumu arrest muhalifu akifanya kosa
Hapana..vipi nikikupiga kwa kuhofia wewe unataka kuniteka?..Njoo uniarrest mimi uone kama millardayo hajaripot kitu kesho yake asubuhi..

Kwa akili ya kawaida tu Raia wanaenda kutoa taarifa polisi..polisi ndo wanakuja kukuarrest....

Mtu umekula huko umeshiba alafu eti uje uniarrest[emoji23][emoji23][emoji23]...ntakumwaga ubongo
 
Back
Top Bottom