Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Kipindi Cha jiwe usalama wa taifa walikuwa wengi mtaani, utasikia unanijua Mimi ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni trafiki..??mbona kelele ni nyingi sana alafu sioni kosa lolote la hao wanajeshi kwenye hiyo video? Sioni kosa la barabarani,wala sioni huo ubaya aliofanyiwa huyo jamaa humo ndani...kuambiwa asipige picha kambi zote za jeshi hiyo sheria ipo.
"Unanijua Mimi nani''. Hii kauli haikuepo kipindi cha Jiwe. Labda umesahauKipindi Cha jiwe usalama wa taifa walikuwa wengi mtaani, utasikia unanijua Mimi ni nani?
Hiyo clip ni dakika mbili tu, we unajua kilichotokea kabla au baada? Labda kama wewe ndio muhusika.Hao ni trafiki..??
Itakuwa njema kama ni hivyo.Tayali wale wahalifu wameshasimamisha kazi kupidha uchunguzi.
"Unanijua Mimi nani''. Hii kauli haikuepo kipindi cha Jiwe. Labda umesahau
Sidhani hata kama unaelewa uzi unamaanisha nini acha kukurupuka!Hiyo clip ni dakika mbili tu, we unajua kilichotokea kabla au baada? Labda kama wewe ndio muhusika.
Hii kauli ilienea sana enzi ya Kikwete. Wale wauza NGADA ndio walikuwa wakiingia bar hiyo ndio ilikuwa kitambulisho chao."Unanijua Mimi nani''. Hii kauli haikuepo kipindi cha Jiwe. Labda umesahau
Unafikiri ule mtutu huwa unalengwa tu kama manati..? Mihadarati walihakikisha kuwa imo mule..? Mkuu ni hatari zaidi kujiingiza kwa hao jamaa ktk namna hiyo na hiyo video ndio Imemsaidia naona huwajui hao jamaa.😂Hukuona mitutu ya bunduki?? Wanakushuti na fili linaandikwa ulikuwa unatorosha mihadarati. Case closed.
Tayali, kupidha [emoji2][emoji2]Tayari wale wahalifu wameshasimamisha kazi kupidha uchunguzi.
View attachment 2184659
Hata Kama jamaa ingekuwa ni makosa yake lakini haikupaswa kuingiza gari humo alipotakiwa kuingiza gari!,kujipeleka mahali ambapo utakuwa huna utetezi wa aina yoyote ndio kosa la kiufundi alilofanya mshikaji.. kwani tunafahamu hulka za hao jamaa raia huwa wanatuchukulia kama watu tusio na haki na wenyewe ndio wenye mamlaka ya kufanya uwezavyo!.
Nini kama wangembambikia kesi nzito nayeye ameshajitia dosari ya kuingia chini ya utawala wao..?
Mwanaume upo kwenye mazingira yako unategemeaje nguvu ya mtu mwengine ambae yupo mbali ambapo mpaka aje afike chamoto utakuwa ushakiona! Ati mjomba wangu mbunge!..😂
Aliposimamishwa hiyo ndio ilikuwa nafasi yake ya kutoroka na sio kukubali kuingia kwenye mdomo wa mamba,ambae nae barabarani sio mahala pake!
Wito wangu.. hakuna aliejuu ya sheria hivyo watu wa usalama tumieni mamlaka yenu pale panapostahili,ubabe na majivuno sio kitu chenye afya pale ambapo hapastahili...
Mamlaka zinazohusika zinapaswa ziingilie kati na ziwawajibishe kila mmoja kwa haki ili kudhihirisha hakuna aliejuu ya sheria,pia kila mtu lazima awe na utambuzi binafsi katika nafasi aliyonayo vitu vyengine hivi vidogovidogo vitawavua nguo muonekane si lolote si chochote ktk nafasi mlizonazo.
Mkuu utii upi unahitajika hapo..? Labda kama wewe ni mgeni wa hao jamaa hivi utii upi unaouzungumzia ikiwa wote mpo ktk mamlaka ya barabara halafu mwenzio anakupeleka chocho yake nawe unakubali ukitiwa vitasa humo..?😂Wale walikuwa kwenye msafara that's why mpaka magobore uliyaona waziwazi.
Necessity inampa haki mtu yeyote ya kuvunja sheria.
Tuwe watii hata tunapoona haki zetu zinapindishwa
Na ndipo hapo ninapokuja na huu uzi kuwa kosa la jamaa ni kukubali kuingiza gari mule kwenye mamlaka za watu wengine maana wanaweza kukufanya lolote na hata baadae ukaonekana wewe ndio mwenye makosa!Kumwita yule dogo, jamaa itakuwa kutomtendea haki.
Yote unayoyasema yakielekezwa kwa mtu mzima ni sahihi.
Kumbuka dogo aliendelea na safari yake yote kwenye lane ile ile bila kujaribu kujihami kwa namna yoyote.
Dogo alikuwa muumini mwaminifu wa haki akidhani kwa kuwa kwa vile makosa si yake haki ilikuwa kwake.
Jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza!
Kipindi Cha jiwe walikuwa wengi sana, wasukuma wote walikuwa usalama wa taifa walizagaa kila sehemu mpaka kwenye vijiwe vya kahawa na draft"Unanijua Mimi nani''. Hii kauli haikuepo kipindi cha Jiwe. Labda umesahau
Hapana kipindi hicho unanyakuliwa tuu...Kipindi Cha jiwe usalama wa taifa walikuwa wengi mtaani, utasikia unanijua Mimi ni nani?