Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Huyo dogo anaonekana anakiburi!Mishikaki hakum snitch.
Alishauri kupisha shari ikibidi hata kuomba msamaha kwa kosa lisilokuwapo.
Yumkini ndiye aliyepiga na kusambaza clip hii.
Uwe umeingizwa au umeingia mwenyewe!
Nenda kachukue video alafu rudi hapa utupe mrejesho
Ni upumbavu wanafanya hao kichwa maji wanaojiita wanajeshi.
Ushamba huo majengo ya serikali ukienda Google map kila kitu kiko waziSijui kama ni sheria au protokali tuu. Ila ukipiga picha au video majengo ya serikali bila kupewa rukhsa unaweza kupata matatizo.
Chui jike na chawa wake wapo salama🐅Kama hivi ni halali, nani yuko salama?
Sheria inaruhusu mtu yeyote kufanya arresting!Kwanini uingizwe huko? Kwani huko ni kituo cha polisi?
Kwani hapo wamefanya kosa gani?Halafu utasikia eti hao waacheni huwa hawasemwi
Dunia nzima wanawajibishwa tena na wanatangazwa kabisa
Nigeria walivyoiba hela za bajeti na kuchapwa na waasi waliaema
Halafu mtu anasema katiba kwani kwenye sheria za Jeshi zimeandikwa kuonea mtu?
Waandishi wa Habari waoga hawana uhuru hata kumuiliza mkubwa swali moja tu je kupiga rukhsa?
Hivi trafiki tuu ndio wakikusimamisha barabarani unalazimika kutii!?Kwa wakati huu ambapo hakuna katiba mpya,jamaa alishindwa nini kuendelea na safari,anasimamishwa naye anasimama,hao ni trafiki au aliogopa magwanda?
Nyie wananchi punguzeni kuwa-overate hao jamaa ambao ni iron boys and girls.
Si kuna traffic?Wamefanya kosa gani hao Askari? Unajua chanzo cha hilo tukio lilikuwa nini? Au umesikiliza clip upande mmoja tu unakuja kuropoka humu?
Huyo dogo anaonekana anakiburi!
It’s obvious yeye ndo alikuwa na makosa
Kwani hapo wamefanya kosa gani?
Hakuna shida gani ukiambiwa chuchumaa?Huyo Dada mwanajeshi katokea wapi? Nimesikia tu amri ya chuchuma chini. Idara mboni ya jicho la Taifa.
Ndio. Mtu kavaa kiraia hujui ni nani, unasimamaje? Kama ni jambazi?Hivi trafiki tuu ndio wakikusimamisha barabarani unalazimika kutii!?
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Wamekosea nini?Vijana wa makumbusho wamekosea sana, kulikuwa kuna umuhimu gani wa kumpeleka hapo makumbusho basement.
Hawa vijana wakivaa hizo bakabaka wanakuwa kama vichaa sana, wamekosea na itawagharimu mno.
Najua pale mwembetogwa ulikua mtukutu na mtoro wa shule ila nafasi ya kujifunza ustaarab ilikuwepo unajisahaulisha tu.Endelea kukariri!
Kwa nini hakurekodi wakati anachomekewa?Kutokana na maneno ya dereva anasema walimchomekea na ndipo kumsimamisha
Ukiangalia vizuri hiyo video utaona kabisa video imepigwa ndani inaonyesha mlinzi yuko wapi, kuna walinzi wangapi getini vitu ambavyo havionekani Google maps.Ushamba huo majengo ya serikali ukienda Google map kila kitu kiko wazi