Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Niliwahi kufika kwenye nyumba Fulani dogo alikuja na sindano anataka kunichoma mama yake akasema usikwepe atalia Sitasahau nilisepa hapohapo [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu, Wife kastuka usingizini kwa bed. Ananiambia “endelea kuchekeshwa na malaya zako kwa simu”
kuna limoja nilikuta linamsuka mwanaye wa kiume nywele ilinichukua muda sana kujua kwamba dogo ni ME baadaye likiwa bwabwa anaanza kwenda kutafuta mafuta ya alizeti kwa mwamposa, watu wamevurugwa sana maaneeneeer
Nimemtembelea mshua mmoja Baada ya msosi dogo ananiambia carry your plate 😀😀😀Unazungumziaje Wale Watoto akija Mgeni, Mara avutwe Shati, ashikwe nywele, mara mtoto kampanda mgongoni Mgeni huku Mama yake anacheka tu.
Sasa hapo aibu ya nini kama mimi namkazia tu hadi ataona aibu yeye na mama yakeKuna mwingine hapa mama yake ana duka la reja reja....ukifika tu kwake,mtoto ataanza kukuganda umnunulie soda Mara bigboo,Mara juice,Mara biskut Mara nini, yaani unavunga wapi. Huku mama yake akimkodolea macho. Mpaka unaona Ainu unamnunulia huku mama yake akinyenyuka kwenda kumhudumia utadhani ni mteja. Fakini!!!!
Hatukukatazi kudekeza mtoto wako...dekeza unavyotaka cha muhimu asiwe kero kwa wengineMalezi yote hutokana na mazingira kla mtu analea mtoto wake kutokana ma mazingira yanayomzunguka
Afu tujifunze kitu jaman kla mtu analea vle anataka lea mwanae sasa mambo ya kuingilia malezi ya mtu mwingne kwa mwanae uyo ni udikiteta na ukuda
Malezi ya leo sio malezi tulokulia tulio weng
Unatembea barabaran unakutana na binti kaongozana na familia yake ila kavaa kimini kifupi au surual iliyobana sasa ww km mpita njia unataka ufanye nn wakat wazazi wake wamemruhusu
Jaman kla mtu atabeba mzgo wake
We ukilea mwanao kwa maadili unayoona ww ni sahihi bas usihoji wenzio kwa malezi yao ambayo wanaona wao ni sahihi
Kwa kifupi kla mtu ashinde mechi zake
Sio kwa kiasi fulani bali kwa asilimia 100Malezi ya single maza yamechangia kwa kiasi fulani ongezeko la mashoga
FaizaFoxy achaa udini, kuna watu hawajui hata dini ni Nini na wanawalea Watoto wao kwenye misingi mema ya adabu kwa Jamii! Swala la malezi ni general,usipende kusingizia Dini kila kitu!!!Hayo mambo ya kuhusu watu kujiweka utupu yanategemea, mila na jadi na mtu alipotokea. Wengi wa wakosa maadili utakuta wametokea kwenye familia zilizoacha kujifunza na kufunza vizazi vyao maadili kutokana na mafundisho ya dini.
AlhamduliLlah, Uislam unahimiza stara popote tulipo. Nasisitiza, tusichanganye Uislam na Muislam.
Ninewaona Waislam wengi ambao utamkuta katupia khanga moja tu mbele ya watu na hata hajali kabisa, kinyume kabisa na mafundisho ya Uislam.
Hali kadhalika kwa wasio Waislam.
Tatizo la kutokuwa na maadili ni watu kuwacha kusoma na kusomesha dini watoto zetu.
Hutokuta upuuzi wa maadili kwenye familia zinazofata na kushika mafundisho ya dini.
Tunaishi kutokana nanayoyaona kwenye nedia za kimagharibi, ambayo yote uliberali (ushetani).
Hatujachelewa kurudi kwenye maadili kwa kufata mafundisho ya dini. Tukumbushane mara kwa mara, asaa tutamuokoa japo mmoja.
💯🤝 nakubaliana nawe
Umestuka na wwe Kama mie!![emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] mbona km uongo uuhhh au unatudanganya
🤣🤣🤣🤣Niliwahi kufika kwenye nyumba Fulani dogo alikuja na sindano anataka kunichoma mama yake akasema usikwepe atalia Sitasahau nilisepa hapohapo [emoji16]
Yah hii aingi akilini kabisaUmestuka na wwe Kama mie!![emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unazungumziaje Wale Watoto akija Mgeni, Mara avutwe Shati, ashikwe nywele, mara mtoto kampanda mgongoni Mgeni huku Mama yake anacheka tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nagombana na wanangu mapema sana kuhusu hilo niepukane na aibu hii Mbele ya mgeni sio heshima hata kidogo hata mtt kuzoea mgeni kupita kiasi sio vizuri Hawakawii kuuliza mgeni unaondoka lini..au unakula sana
Yaan nlitaka nishangae ushoga usitajweee. KhaaaahMalezi ya single maza yamechangia kwa kiasi fulani ongezeko la mashoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliwahi kufika kwenye nyumba Fulani dogo alikuja na sindano anataka kunichoma mama yake akasema usikwepe atalia Sitasahau nilisepa hapohapo [emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]me anaulizaga eti hiyo nini???Dah ase miak mitaty inatosha
Juzi nilikuwa naoga sasa navaa mtoto kaja si akaaza kulopa embu mdudu wako kojoa nilitaka nimfinye ila nikamuacha tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu, Wife kastuka usingizini kwa bed. Ananiambia “endelea kuchekeshwa na malaya zako kwa simu”
Dah mimi alisema sijui kibile na yeye anayomndio maana nilijisikia aibu kiasi fulani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]me anaulizaga eti hiyo nini???