Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Hilo halitoshi kote ambako waziri Jafo anasema ccm imepita bila kupingwa ni kwamba watendaji walijificha au walifanya hila ili wagombea wa vyama vingine washindwe hata kupata hizo fomu. Matokeo yake ccm peke yao ndiyo waliochukua na kurudisha kishwa wanasema wamepita bila kupingwa.

Huu "uchafuzi" ni batili
 
1. Steven Nemes
2.David Mwakalebela (MP)
3. Fred Flex Minziro(Majeshi)
4.Godwin Aswile( Mlimba)
5.Willy Mtendemema
6.Hamis Thobias Gaga
7.Sanifu Razaro(Tingisha
8. Isa Athuman Mgaya
9.Said Mwamba (Kizota
10. Steven Musa(Oko
11.Maalimu Salehe(Romario
 
Lile swali dogo ambalo sijajua limeenda wapi sasa limekuwa swali la msingi.

Je, Chadema watarudisha udhamini kwa wanachama wao waliorejeshwa kwenye uchaguzi?

Maendeleo hayana vyama!
Washenzi hawawezi kuacha asili yao. Wakikukosa hapa ujue watakuvizia mbeleni kwani wanasema lazima washinde kwa kishindo hata ikibidi goli la mkono lifungwe. Bado sijaona sababu za sarakasi zote hizo.
 
Kwa Mara Ya Kwanza Naona Serikali inatetereka Baada ya Vyama Pinzani kufanya Maamuzi! Safi sanaa Sasa Tusimamieee Wagombea wote kujitoa! Naipenda CCM ila kwa Walichofanya kwenye Huu uchaguzi hapana
 
Wapi wamelazimisha?
"Hakuna kukimbiana, hakuna kuweka mpira kwapani, lazima kieleweke tarehe 24, Novemba, 2019" - Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo asisitiza kuwa wote waliochukua na kurejesha fomu watashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa.

Ameagiza karatasi za kupigia kura zianze kutengenezwa zikijumuisha majina yote ya kila aliyerejesha fomu hata kama mwanzo walikatwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo kukosea majina ya vijijiji, mitaa na vyama.
 
Mi CCM iliwahi kuambiwa faida za MGOMBEA BINAFSI ila ikabisha angalia sasa Mgombea binafsi akiwepo unaweza kumvuta upande wowote wa maendelea bila kung'ang'ania chama
 
Jafo, why all this trouble? Si muache mtawale nyinyi peke yenu? Nilisema mmerahisishiwa kuua upinzani, tabu yote unayopata ya nini? Unahangaika nini? Kwani upinzani watawafanya nini? majeshi mnayo, pesa ni zenu, why all this trouble?
They are nothing for nothing
 
Jafo kachanganyikiwa hajui hata huu ni mwaka gani. Mwaka 2910 wala hakutakuwa na nchi inaitwa Tanzania
 
CcM jifunzeni kuchuchumaaa.. mtaabika?

Jafo kama una akili futa zoezi zima.. uchaguzi pelek mwakani?

Wananchi sio wajinga wala chadema sio watoto kama onavyo dhani na wana ccm wenzio.View attachment 1259568

Kwa maana hiyo ni kweli CCM ilikuwa na NIA OVU ambayo kama vyama vya siasa hususan CHADEMA, ACT WAZALENDO na UMMA wasingejitoa uovu huu ungeendelea! Hii ni awamu mbovu kabisa katika historia ya Tanzania. Tunakoelekea ni zaidi ya Zimbabwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…