Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Kuanzia saa Nane na nusu mchana leo tujongee karibu na tv zetu.
Je, serikali itakuja na tamko gani kuhusu huu uchaguzi uliojaa mikanganyiko na ubabe mwingi?
Uchaguzi si ushaisha na wameshinda kwa kishindo cha awamu ya tano?