Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Namuona jafo hapa UTV wagombea wa chadema walikuwa 19% ya wabombea wote

CUF likuwa na wagombea 4% ya wagombea wote

VYAMA vilivyobakia walikuwa 1.005 ikiwemo na ACT

CCM ilikuwa na wahombea 79& ya wagombea wote

Form zilizokataliwa zilikuwa asilia 28.66% ya form zote


State agent
Ccm wote ni wapumbavu pamoja na mtoa maelekezo. Kwa hio wanajifanyia mambo bila kuangalia impacts yake
 
Ikiwa CCM na serikali yake hawapo tayari kufanya uchaguzi huru na haki, ni bora kusiwepo kabisa uchaguzi. Fedha zikapelekwa kujenga SGR, Bwawa kubwa la Umeme(Stiglers ).

Hatuna sababu kutumia Mabilioni kujidanganya au kuuhadaa ulimwengu ambao kimsingi hawadanganyiki.
 
Kwahiyo unafikiri hao chadema na ACT ni wapuuzi kama walikatwa kwenye fomu kwenye kura si ndio watachinjiwa baharini hata damu haitoonekana
Jafo hajawahi kufanya kazi kwenye Halmashauri, anaposema vilivyosusia ni vyama sio wagombea ,ana maanisha wagombea wataendelea kupigiwa kura, hajui madhara yake ukiwa watachaguliwa, hawatashiriki shughuri zozote za maendeleo ikiwa watapita. Ikitokea hivyo shughuri nyingi za kwenye hizi LGAs zinategemea sana hawa viongozi na sio madiwani. Watapelekewa vifaa vya viwandani kwenye miradi wataviweka ndani, shughuri nyingi za wananchi zitakwama.

Mimi nafikiri utafutwe muafaka , Jafo ana mamlaka ya kuwarudisha wagombea wote waliotolewa, kwa sababu makosa yao ni madogodogo tu ya ujazaji wa fomu sio ya jinai.
Lazima ifike mahari tukubali hatukufikiria wakati tunapanga kuwaondoa xhadema na ACT, ilibidi pia tupandikize wahombea toka kwenye vyama vingine 11,ili hawa wakigoma hao wengine wanabakizwa kwa ajiri ya justification, sasa hawajasimamisha wagombea halafu wanaambiwa waende mbele ya waandisha wa habari wakatoe tamko la kuendelea na uchaguzi, wakati tumeshachelewa
 
Wapinzani waliona watashindwa vibaya ikabidi wakimbie

Ila janja yao imestukiwa,hakuna kujitoa

Kwani wale waliowaengua wapimzani kumbe walikuwa wameteuliwa na wapinzani mi nilidhania ni watumishi wa tamisemi kama sheria inavosema.
 
Siasa za ulaghai zimefika mwisho Wananchi hatudanganyiki tena

Mimi nilijua huu ni mchezo wa upinzani kuepuka aibu ya kushindwa

Wamenusa harufu ya uchapakazi wa Magufuli anavyokubalika kwa Wananchi wakaona njia ya kuepuka aibu ni kujitoa kwenye Uchaguzi

Ila kwa kuwa Serkali inamkono mrefu ikawa imenasa huo mtego

Wengine walikosea kujaza fomu makusudi ili wasipitishwe

Ningeomba serkali iwarudishe wote hata wale wasio jua kusoma na kuandika

Pale akili za utumbo mkubwa zinapofanya kazi!
 
Amesha
Namuona jafo hapa UTV wagombea wa chadema walikuwa 19% ya wabombea wote

CUF likuwa na wagombea 4% ya wagombea wote

VYAMA vilivyobakia walikuwa 1.005 ikiwemo na ACT

CCM ilikuwa na wahombea 79& ya wagombea wote

Form zilizokataliwa zilikuwa asilia 28.66% ya form zote


State agent
[/QUOAmeshachelewa washinde kwa %100
 
Kama kuna uamuzi wa hovyo uliwahi kufanyika basi ulikuwa huu wa mapingamizi ya kijinga kabisa
Asante kama mmeliona hilo
Jamani twendeni tukashiriki uchaguzi hali sasa ni shwari
Umeshakuwa mchezo wa kitoto huu, wacha mkacheze wenyewe.
 
Hii press inahusu wagombea binafsi. Kwa kifupi Tanzania imeingia kwenye aibu. Chama kijiondoe halafu mgombea abaki kuwa halali! Pathetic.
Sasa magufuli kama anavunja katiba aliyoapa kuilinda kwa kuiona haifai sasa hicho cheo chake cha urais na ukuu wa nchi anakipata wapi?
 
Mkirudi mjue mmeliwa. Otherwise mkirudi mdai Haya:
1. Daini katiba huru
2. Tume huru ya uchaguzi
3. Watendaji (Wasimamizi) waondolewe. Wapatikane huru. (Jiulizeni, hivi kilichotokea ni kwa bahati mbaya? Kama walipewa maagizo ya kutenda uovu na wakatenda, Je mkirudi hawatapewa tena maagizo na watekeleze?)
4. Ukaguzi ufanyike kwenye Yale madaftari ya uandikishaji( mshawahi jiuliza tangu uandikishaji kwisha daftari ziko Wapi? Nini kimefanyika humo?)

Hayo ni machache, mengine jiongezeni. Mkija kichwa kichwa tutawala kama kawaida
 
Lile swali dogo ambalo sijajua limeenda wapi sasa limekuwa swali la msingi.

Je, Chadema watarudisha udhamini kwa wanachama wao waliorejeshwa kwenye uchaguzi?

Maendeleo hayana vyama!
Mchakato uanze upya wengine walinyimwa fomu za kugombea.
 
Kama tumewasikieni baada ya kususia Uchaguzi, Daini Tume Huru! Mtasikilizwa pia!

Kidumu Chama Tawala!
 
Back
Top Bottom