Wale ambao tumeshindwa kupiga kula kwa sababu ya kukosa nauli njooni hapa tuongee.
 
Dr Magufuli amepiga kura yake Chamwino huko Dodoma na kuwataka wananchi waendeleze umoja na Upendo kwani kuna maisha hata baada ya uchaguzi.

Tuilinde amani yetu na kudumisha umoja wetu, amesema Dr Magufuli.

Source ITV

Maendeleo hayana vyama!
 
Acha ushari . Ondoa chuki moyoni mwako ubaki na upendo, ni maagizo ya Mungu.
Hapa nilipo nimepiga kura wa kwanza kabisa, basi nakuapia mbele ya Mungu huyu Wakala wa chadema anaulizwa kupiga kura anasema hajajiandikisha. Sijui mtashindaje uchaguzi.
Hahaha CCM story zenu hizo kila mwaka, huku mnatuibia.

Magufuli Chinja chinja huu ndio mwisho wake.
 
Sio uchaguzi ndio maana wamezima mitandao.
 
-
NEWS ALERT from MASASI

Kituo kimoja cha Kata ya Nyasa, kijana mmoja kakamatwa na makaratasi mengi ya kupigia kura feki yaliopigwa tiki tayari. Wananchi walitaka kumchoma moto bahati mbaya polisi waliwai eneo la tukio. Kahojiwa na wananchi amesema walipewa kazi na CCM
 
Iwapo kwenye karatasi ya kura uliweka tick kwa mgombea aliepo mwishoni mwa karatasi jua kabisa ni roho mtakatifu alikuongoza hata ukawaruka wagombea wengine na ukamchagua wa mwisho.

Nilipopewa karatasi ya kupigia kura sikutaka kukitazama kiumbe chochote kwenye karatasi nilienda mpaka mwisho mwa karatasi na kudondosha tick moja yenye afya kwa Mh Tundu Lissu(Rais wa awamu ya 6),nami nikasikia malaika wakishangilia mbinguni kwa vifijo,nderemo,vinubi na zumari.
 
-
Jimbo la Masasi

Hadi sasa Mawakala wetu 53 wamekataliwa kwa sababu za kukosa kitambulisho.

Kata ya Chanika Nguo.... 13
Kata ya Jida.................... 24
Kata Mumbaka................16

Tunaendelea kufuatilia kata zingine za jimbo
 
Ujinga huu
 
-Kwenye Vituo Vingi Jimbo La HAI Fomu Ya Kujazia Matokeo Ya Mbunge Kwenye Kituo (Fomu Namba 21) Haipo. Hivyo Majumuisho Ya Kura Za Mbunge Kwenye Kituo Hayawezi Kuhesabiwa Wala Kubandikwa Kwasababu Fomu Haipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…