Uchaguzi 2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020
Makaratasi ya kura yamezagaa mitaani kibao.aliebuni wizi wa aina hii hajui kuiba
Unauhakika gani kuwa hayo makaratasi siyo mpango wa wale waliokwisha kutambua watashindwa hivyo wanafanya hivyo ili ionekane uchaguzi una kasoro!? Shituka/Stuka, Mkuu. Watu wanatafuta mahali pa kuficha aibu!
 
Kwa nini mnajiabisha!? Yaani unadiriki kutoa tuhuma kama hii bila ushahidi usiotiliwa shaka na unatengemea watu wenye hekima na busara zao wakuone wa maana!? Mkuu, unaonekana kituko kwa hili unalofanya na inaoneka a wazi unataka kuchafua amani ya nchi. Hili halikubaliki!
Upewe ushaidi kwani wewe ni mahakama pimbi mkubwa wewe
 
Ni Afrika tu ambako ni haki ya mwananchi kupiga kura laikin ujue kupanga matokeo mchezo wanaumiliki wao... so sijajisumbua.. kama mtandao umezimwa unafikiri kitugan kingine kinawezekana ? everythng bro.. mi naangalia kwa mbaaali...
ni wazi wanachukiza
 
Mkoloni mweusi CCm hataki kung’oka,sasa hawa watu wa tume ni mchwa wa lumumba,bora katiba ya Warioba
 
Upewe ushaidi kwani wewe ni mahakama pimbi mkubwa wewe
Ha ha haaaa! Hu huuuhuuu! Pole mtani, naona jiwe limekukuta gizani, Mtani. Ha ha ahaaa vumilia hivyo hivyo, mtani wangu !, Mkuu, sasa hapa JF ni mahakamani!? Hizo habari, kwa nini mzilete hapa JF tuzijadili wakati mnajua kuna sehemu zinakopatikana mahakama.
 
Mwenye akili timamu huu uhuni wa leo hawezi kuita ni uchaguzi huru na wa haki. Kuna fuse kichwani zimefyatuka wahi mirembe. Hata kama ni mahaba not to that extent.
Hakuna kitu kama hicho. Mlitamani sana tushindwe kufanya uchaguzi huru na haki kwa kusababisha vurugu, hivyo viunzi watanzania tumeviruka. Mpaka sasa uchaguzi unaendelea kufanyika na ni matumaini yangu utamalizika salama na matokeo yatatangazwa kwa usalama pia. Tanzania yenye amani itaendelea kushamiri na kuimarika kwa kila nyanja. Na hapo sasa ndiyo mwanzo wa kuipata Tanzania inayoJITEGEMEA kwa uhalisia.

Mungu ibariki Afrika,
Mungu ibariki Tanzania. Amina.
 
Naona muda umekwisha. Sasa ni muda wa kuhesabu Kura. Mbivu na mbichi zinakwenda kujulikana. Japo Kuna figisu lakini Mungu ni mwema Lissu ataibuka kidedea.
 
Mie na Mataahira mbali mbali kabisa. Mwenye akili timamu huu uhuni wa leo hawezi kuita ni uchaguzi huru na wa haki. Kuna fuse kichwani zimefyatuka wahi mirembe. Hata kama ni mahaba not to that extent.
Ha haha haaa!!! Ni rahisi sana kuwatambua kwa lugha zenu. Hata hivyo, pole kwa kuwa 'irritated', huo ndiyo utamu wa uchungu wa ukweli. Kwa hiyo sishangai post yako hii. Jiandae mkuu, kupokea matokeo ya kweli ya uchaguzi kwa uchungu! Hatuna namna ya kukusaidia, uvumilie hivyo hivyo!
 
Nchi nzima kura za wizi ni CCM tu, hivi kumbe miaka yote ndivyo mfanyavyo?

Aibu sana, alafu Gwajima askofu feki wa misukule ndio anaongoza nchii hii kwa kura za wizi
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Muda umeisha sasa ni muda wa kuhesabu kura
 
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe.Tundu Lissu amepiga kura katika Kituo cha Ntewa A, Shule ya Msingi Ntewa, Kata ya Ntuntu, Ikungi, Mkoani Singida.

FB_IMG_1603891701524.jpg
 
Back
Top Bottom