Walioharibu uchaguzi ndio wametumwa ungekuwa fair uchaguzi haya yasingekuwepoAkumbuke kutueleza ametumwa kuja kuivuruga Tanzania kwa misingi ipi? Pia kwanini anakuwa supported na war criminals na vibaka wa rasilimali za Afrika?
Unafikiri kuna serikali itayotoa pesa kwa Tanzania isiyo na demokrasia!Unabii imeanza lini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Updates:
Tayari ameingia ukumbini
Anasema watanzania sio watu wazuri.
Anasema atarudi kwao wiki ijayo.
Anamshukuru mume wake Robert Amsterdam kwa kumshika mkono.
Anasema hakuna wa kumshinda JPM
Anaahukuru wana habari.
Anafunga mkutano.
Ni vizuri sana wasipotoa misaada. Ili watanzania tutambue na tufahamu maendeleo ni matokeo ya kufanya kazi. Misaada inatweza utu bora tukope maana ni tutalipa kuliko kuendekeza misaadaUnafikiri kuna serikali itayotoa pesa kwa Tanzania isiyo na demokrasia!
Tulia mummy! Haya mambo hayahitaji papara.Unafikiri kuna serikali itayotoa pesa kwa Tanzania isiyo na demokrasia!
Wapuuzi sana, ndio wanaoturudisha nyumaMedia za kibongo hazitaripoti chochote.
Tena very soonCcm itafika inakotoka kutufikisha
Zile pesa za mfuko ws elimu zilipokwama mlitaka kumuua Zitto ilhali nyinyi ni wachapa kazi.Ni vizuri sana wasipotoa misaada. Ili watanzania tutambue na tufahamu maendeleo ni matokeo ya kufanya kazi. Misaada inatweza utu bora tukope maana ni tutalipa kuliko kuendekeza misaada
Huyu binti anakera kweli
Kwa ushindi wa kunyongaTulia mummy! Haya mambo hayahitaji papara.
Tayari mshachezea Knock Out [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa wizi wa silahaKwa ushindi wa kunyonga
Mabadiliko ni mchakato hata uchaguzi huu tumetumia fedha zetu wenyewe. Ni vizuri Kama taifa tukajifunza kuwa wawajibikaji kwenye mambo yanayotuhusu. Yes ni ngumu sababu ya mazoea lakini ni nuru ya tunapoelekeaZile pesa za mfuko ws elimu zilipokwama mlitaka kumuua Zitto ilhali nyinyi ni wachapa kazi.
Msimlishe maneno, tunataka kusikia anachoongea yeye ili visiletwe visingizio baadaye!uliotawaliwa na kila aina ya uharibifu, uvurugaji na ukiukwaji mkubwa wa taratibu zinazosimamia Uchaguzi Mkuu
binafsi naunga mkono sapoti hata ya shetani ilimradi ma ccm yashindwe!.Akumbuke kutueleza ametumwa kuja kuivuruga Tanzania kwa misingi ipi? Pia kwanini anakuwa supported na war criminals na vibaka wa rasilimali za Afrika?
Zile pesa za mfuko ws elimu zilipokwama mlitaka kumuua Zitto ilhali nyinyi ni wachapa kazi.