Akumbuke kutueleza ametumwa kuja kuivuruga Tanzania kwa misingi ipi? Pia kwanini anakuwa supported na war criminals na vibaka wa rasilimali za Afrika?
Wewe umetumwa na nani kuwaloga majirani zako
 
Maskini Amsterdam ndoto za kuingia nchini kama chumban kwake zimefifia

Kwa nini masikini Amsterdam? Huyu Muzungu kavuta mpunga mrefu sana, ni Mwanasheria ambaye chadema imemlipa kwa kutumia ruzuku yetu, hivyo yeye hana shida hiyo ndiyo kazi yake, ...
 
Pamoja na huo mpunga bado angepata maslah zaidi ya hayo
Kwa nini masikini Amsterdam? Huyu Muzungu kavuta mpunga mrefu sana, ni Mwanasheria ambaye chadema imemlipa kwa kutumia ruzuku yetu, hivyo yeye hana shida hiyo ndiyo kazi yake, ...
 
😂😂😂😂😂😂😂
Najiuliza tundu atamlipa nini kwa huyu jamaa mana nchi ameshaikosa.
Lazima aliwe😋 kulipa gharama na muda alioutumia amstadam kuandika mibarua mirefu vile loh!
 
Pamoja na huo mpunga bado angepata maslah zaidi ya hayo

Huyo Muzungu hiyo ndiyo kazi yake analipwa kufanya anavyofanya hakuna maslahi zaidi ambayo angepata zaidi ya hela ndefu ambayo chadema wanamlipa kwa kazi anayowafanyia fedha ambayo chadema wangeweza kuiwekeza kwenye chama hapa TZ na kuwasaidia zaidi, huyu Muzungu anafanya kazi na Dunia nzima, hata wewe ukimuhitaji kesho nauna hela ya kumlipa atafanya unavyotaka, ...
 
Beberu ni beberu mkuu. Huyo mzungu anatetea penye maslah yake kwa juu utaona ananunulika ila ndani ana yake zaidi
 
Najiuliza tundu atamlipa nini kwa huyu jamaa mana nchi ameshaikosa.
Lazima aliwe😋 kulipa gharama na muda alioutumia amstadam kuandika mibarua mirefu vile loh!
Wadachi ni kama waitaliano, wana jambo lao fulani...
 
Hata Heche naye out, ni Jimbo lipi sasa limebaki kuwa ndilo la uhakika CHADEMA kushinda??

Nimeamini kweli, Tanzania siyo Kenya aisee
 
Najiuliza tundu atamlipa nini kwa huyu jamaa mana nchi ameshaikosa.
Lazima aliwe😋 kulipa gharama na muda alioutumia amstadam kuandika mibarua mirefu vile loh!
Wahitimu wa shule za kata hawezi kujificha, tunawatambua kwa umediocre wenu
 
Mahubiri ya nani, ya hawa viongozi wa wanafki? Mimi tivii yangu itaonesha Movie na nyimbo za Wanaijeria au Wamerakani. Nchi hii imejawa wanafkii wanafkii sanaaa hatutoweza endelea pamoja na rasimali zote tulizonazo.
Mkuu nimecheka

Sio hawa matapeli kina Radhid Mauno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…