Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Utawawajibisha wewe. Mimi na wake wote ambao ni dependant wangu kuanzia kijijini kwangu na kwa mke wangu leo tuna letu jambo. Mambo ni kimya kimya tu.Twendeni tukawaaibishe Mabeberu, wajue Tanzania si lelemama.