Twendeni tukawaaibishe Mabeberu, wajue Tanzania si lelemama.
Utawawajibisha wewe. Mimi na wake wote ambao ni dependant wangu kuanzia kijijini kwangu na kwa mke wangu leo tuna letu jambo. Mambo ni kimya kimya tu.
 
Nikikumbuka tu hayo na mengine ni lazima nikapige kura. Nina msururu wa watu kila kona leo wananiunga mkono. Wameshaamka wako vituoni.
 
Mzee huyu aliona mbali. HAPO ALIKUWA ANAONYA WATANZANIA KUTOTII AMRI ZA WANA HARAKATI WANAOHAMASISHA VURUGU NA MAANDAMANO KAMA LISSU NA MAALIM.
Ni Yeye 2020. Vurugu ni zile za kuteka watu, kuua, kupoteza, kupiga risasi, kujenga hofu jamii nzima. Sogea pembeni wewe inaekekea unakula huko kwa Dictator
 
Bora wangemuweka Lissu katikati ndio ingewachanya watu, walivyomuweka mwisho ndio wameturahisishia, huangaiki kumtafuta, unaenda mwisho moja kwa moja una tick
Ni rahisi mno
 
Sijui Jf itakua hewani, maana Jana jioni nilikua siipati kabisa.
 
Hapa umafanya nini wewe Choko? Si mtandao huu.
 
Mwaka huu sijashiriki mambo ya siasa tangu Lowasa aliponiangusha akarudi CCM, jambo lililoniumiza zaidi ni kumuweka Lissu wa mwisho kwenye list,
Hebu Inuka ukapige kura wewe acha mambo ya ajabu Lowassa alikuwa msakatonge tu.
 
Nipo Lyamungo sinde, Machame hapa kituoni, Mtifuano ni F. A. Mbowe na Saasicha Mafue. Nafikiri mtifuna huu mpaka saa 6 mchana utakuwa umefahamika muelekeo wake.
Mpeni Mafuwe kura. Tumpime kwa miaka hii mitano tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…