mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
NI kweli Lissu Hana uzalendo.
Uzalendo ni kuiba kura na kutengeneza kura feki kwa ajili ya maslahi ya CCM izidi kubaki madarakani huo ndo uzalendo
Uzalendo ni kuiba kura na kutengeneza kura feki kwa ajili ya maslahi ya CCM izidi kubaki madarakani huo ndo uzalendo
kitu pekee ambacho simkubali lissu ni kua hana uzalendo, japo ameumizwa anajaribu kufanya maumivu yake kua ya nchi nzima.. na huko ataenda kuiponde raisi, ccm na mbaya zaidi anaweza kuipondea nchi kiujumla.