mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Naam.
Kipigo cha mbwa. Hicho ndo wanachokipata hawa so called ‘wapinzani’.
Kwa kweli wala siwaonei huruma. Maana kinachowatokea ndicho wanachokistahili.
Labda baada ya hapa ndo tunaweza kupata upinzani wa kweli kuliko hawa waganga njaa.
Hawa watu waliugeuza huo upinzani kuwa ‘a hustle’ na kusahau kabisa malengo na madhumuni yao.
Ukiwapa ushauri wa kujenga, wanakudharau. Wanakuona wewe ni zuzu au sijui ni zwazwa.
Haya sasa, siku ya siku imefika, imepita, na yale ambayo baadhi yetu tulikuwa tukiwaonya kuwa yatatokea, yameanza kutimia.
Sasa eti wameanza kulialia.
Wanalialia nini sasa? Kwani hawakujua ambacho kingetokea?
Mimi siwaonei huruma hata kidogo.
They deserve everything that’s happening to them and then some.
Now, maybe this will be their time of reckoning.
But, with this current bunch, I don’t have faith in it.
Let me repeat myself again [I know, I sound like a broken record here but oh well]; if you always do what you’ve always done, you’ll always get what you’ve always got.
Read and weep.
Umeongea ukweli mtupu, walijasahau kama walivyokuaga wamejisahau CCM zamani. Hawakujua nini sasa na tulikua tunaongea hayo hayo kila siku