TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya uchaguzi nchini waliotoa matokeo ya kura za wagombea wa nafasi ya urais zinaendelea kutangazwa ambapo kwenye jimbo la uchaguzi la Nkenge mkoani Kagera.
Magufuli amepata kura 57,975 sawa na aslimia 97.1 na mshindani wake wa karibu Tundu Lissu amepata kura 5145 sawa na asilimia 8.05, kura hizi hazijajumuisha zile za wagombea wengine.
Magufuli amepata kura 57,975 sawa na aslimia 97.1 na mshindani wake wa karibu Tundu Lissu amepata kura 5145 sawa na asilimia 8.05, kura hizi hazijajumuisha zile za wagombea wengine.