Uchaguzi 2020 Yaliyojiri sehemu mbalimbali Tanzania katika zoezi la upigaji kura za Rais - Oktoba 28, 2020
Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya uchaguzi nchini waliotoa matokeo ya kura za wagombea wa nafasi ya urais zinaendelea kutangazwa ambapo kwenye jimbo la uchaguzi la Nkenge mkoani Kagera.

Magufuli amepata kura 57,975 sawa na aslimia 97.1 na mshindani wake wa karibu Tundu Lissu amepata kura 5145 sawa na asilimia 8.05, kura hizi hazijajumuisha zile za wagombea wengine.
 
Ni kweli! grassroot ni ile ya OCD wa Jeshi la Polisi Tanzania kutangaza matokeo wiki mbili kabla ya kura
Kura kwenye mabegi, zote za CCM halafu zina mhuri wa NEC na kila kitu. grassroot

Kwa hili Wapinzani waliambiwa hawakusikia
1. Nikupe gari na mshahara halafu umtangaze mpinzani
2. Tutafuta upinzani nchini
3. OCD na Jeshi la Polisi, NEC, Msajili, TCRA , TBC halafu CCM washindwe, ningewaona CCM wapuuzi

Kuna kitu kimoja watu hawakioni. Miaka 5 ya kampeni peke yao, rasilimali za nchi, kuwafunga wapinzani lakini chuki iliyopo dhidi yao kitu cha kutafakari sana

Unaona dhahiri kuwa wananchi hawajali ndege wala madaraja, wamejawa chuki na wanaichukia na kuwachukia to the core. Badala ya kushangilia wizi, wangekaa kitako na kujiuliza !

Wakae chini wajitahmini, wajiulize na watakafakari kwanini Inachukiwa na wanachukiwa kiasi hicho

Feelings are not facts, ni muhimu kulitambua hilo, hao wananchi mnaowasemea kila siku kwamba ,,wana chuki na Raisi Magufuli‘‘ wako wapi? Mbona hatuwaoni popote si Mitaani si kwenye kura, si kwenye Daladala si kwenye Familia, sasa wako wapi?

Najua mna chuki na hasira kushindwa lkn unafikiri ninyi hamna kosa hata kidogo kwenye kushindwa kwenu?

Tundu lisu kaleta Muzungu kamtambulisha kwetu na Muzungu anamtisha Raisi JMTZ unafikiri sisi tutakubali?

Hivyo usiache feelings zako kugeuka kuwa facts, ni kweli mna machungu lkn ndio maisha hayo, ...
 
Na ukizijumlisha kwa pamoja jumla inakua ngapi mkuu
Uongo huo, haya matokeo wanaopost kwenye media zao sometimes huwa wanakosea
Ukweli huu hapa
IMG_20201029_173356.jpg
 
Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya uchaguzi nchini waliotoa matokeo ya kura za wagombea wa nafasi ya urais zinaendelea kutangazwa ambapo kwenye jimbo la uchaguzi la Nkenge mkoani Kagera.

Magufuri amepata kura 57,975 sawa na aslimia 97.1 na mshindani wake wa karibu Tundu Lissu amepata kura 5145 sawa na asilimia 8.05, kura hizi hazijajumuisha zile za wagombea wengine.
Jumla unapata asilimia ngapi? Halafu upumbavu huu unatangazwa na mtu anayeitwa jaji tena mbele ya watu.
 
Jumla unapata asilimia ngapi? Halafu upumbavu huu unatangazwa na mtu anayeitwa jaji tena mbele ya watu.
Mkiambiwa mna mihemko mnakuwa wakali, hapo huyo jamaa kuweka hivyo hata hujataka kujisumbua kutafuta ukweli
IMG_20201029_173356.jpg
 
Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya uchaguzi nchini waliotoa matokeo ya kura za wagombea wa nafasi ya urais zinaendelea kutangazwa ambapo kwenye jimbo la uchaguzi la Nkenge mkoani Kagera.

Magufuri amepata kura 57,975 sawa na aslimia 97.1 na mshindani wake wa karibu Tundu Lissu amepata kura 5145 sawa na asilimia 8.05, kura hizi hazijajumuisha zile za wagombea wengine.
Kwani Askofu Bagonza hakuwepo huko Kagera? Sijui anajisikiaje waumini wake kumkataaa!!
 
Back
Top Bottom