Mkuu tunacho furahia ni kuwa Bashite kapigwa na wananchi, na kumuonyesha kuwa hawampendi.

Hata akipewa uteuzi hiyo haitasumbua maana anajulikana kuwa ni mwana mfalme.

Ila wananchi wa dsm wamemkataa
Ni mapema mno kusherehekea kwa maoni yangu. Unakumbuka ya Mwigulu Nchemba?

 
Amezawadiwa na nani?

Si wamepiga kura...!
 
kiti cha Siha warudie kupiga kura tena baina ya Mollel na Mwanri. Tofauti waliyonayo siyo signficant kuonyesha mshindi; inabidi Kweka aondolewe zipigwe kura baina ya hao wawili tu



Vile vile jimbo la Buchosa Mwanza warudie kupiga kura baina yaShigongo na Tizeba kwani wamefungana

Dkt. Charles Tizeba – 354
Eric Shigongo James – 354


Nassari kaangukia pua ya nguvu kweli kweli huko Arumeru Mashariki; atakoma kimbelembele

 
Wanaccm kigamboni wamemkubali
Mkateni halafu mumpe huyo wowowo wenu muone uchaguzi utakavyokuwa simple kwa wapinzani
Ndungulile kwa Kigamboni anakubalika hadi na wapinzani
Naongea kama mkazi wa Kigamboni nitakayepiga kura.
 
Okey basi tupunguze hiyo kura yako moja. Tufanye tofauti sasa ni 67. Democrasia ichukie mkondo wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…