Viti Maalum vinamuhusu Paul Christian Makonda-Angalizo, isije ikawa ndio njia ya JPM kumtosa maana tayari wenye nguvu duniani wamekwisha mumulikia kurunzi - tochi kwa kusema ni mtoa roho au asiye penda uhai wa wengine... KamaJPM atashinda awamu hii, sidhani kama atataka figisu na wakubwa wa duniani maana anajua anaweza kutumiwa drone kama yule wa Iran. Hii ni awamu yake ya kutengezeza legacy na yabidi akae mbali na akina makonda watakao mchafulia legacy yake...
 
Kigamboni imekuwa mfano wa uchaguzi huru na wa haki sio?

Ila sidhani km kuna jimbo limefuatiliwa km Kigamboni daah
 
Wakitaka jimbo la kigamboni walikose wamweke Makonda
 
Sasa kama haujui hili jimbo mwaka huu ndiyo fainali ilipo maana matokeo ya urais yanajulikana.

Huyo jamaa ndiyo atapigiwa kura na wajinga na ndugu zake wauza kuku hapa Arusha. Nani anapenda kiongozi arrogant...
Muda utaongea
 
Munyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Kwa mara ya kwanza kabisa tokea mfumo wa vyama vingi, uingia hapa nchini, nimeona demokransia na uwazi kura za maoni ccm. Pia nampongeza mk/ wa chama kwani amesimamia na kuimiza uwazi kakika kupiga kura na kuhesabu kura mpaka kumtangaza mshindi. Sijaona eti kunamgombea amekosea kujaza fomu wala sijasikia wagombea wakilalamika kuwekewa pingamizi. Kila kitu kimefanyika kwa uwazi. Na mk/ wa ccm taifa aliwaasa wazimamizi kuwa uchaguzi ukifanyika kwa haki chama kitabaki salama . HATA MIMI NAAMINI KILA MTU AKIPATA HAKI YAKE HAKUNA MALALAMIKO. Ombi langu, kwa vwile mwekiti wa ccm DK MAGUFULI pia ndiye rais wa nchi hii na amiri jeshi wa majeshi yetu. Nakuomba usimamie mchakato wa uchaguzi mkuu ili uwe huru na wazi. Sitegemei kuona eti mtu kakosea kujaza fomu,pingamizi na kamata kamata kwa wapinzani. Naomba kuona uwazi katika kupiga kura, kuhesabu kura na hata kutangaza matokeo. Wapigakura waruhusiwe kuona kura zao zikihesabiwa vituoni na matokeo yatangazwa kwa wapiga kura vituoni. Naamini uwazi kama huo mlioutumia ukifanyika kwenye uchaguzi mkuu, kila mgombea atatoka amelizika. Manung'uniko kwa wagombe na wapiga kura yatakuwa yameisha.NAKUSII KWA NEEMA YAKE MUNGU,JOMBO ILI LIZINGATIWE
 
WATANZANIA MIL KADHAAA WALISIMAMA KWA MDA KUSHINDA KUFUNGUA HII THREAD KUONA MATOKEO YA KIGAMBONI KWELI JF MWANAUKOME AHSANTENI KWA TAARIFA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…