Eti mpambanaji huria kwa wewe na ule MSIBA WA BUNDA n wamoja

Mkuu tupe matokeo ya NINJA NA MSIBA
 
Huyu ingekuwa mshindi lazima apate nusu angekuwa nje. Sasa hivi anatakiwa ajipange sana kwenye uchaguzi Mkuu kwa sababu zaidi ya nusu ya wajumbe hawakumtaka.

Amandla...
Angalau kafurukuta maana kutoka nje ya chama na kupata hizo kura si haba. inawezekana alijitahidi kujiweka karibu nao pamoja na ugeni wake
 
Nyamagana
Stanslaus Mabula=319
John Nzwalile =54
 
Alisimamia misingi yake ya utabibu hivi unataka siasa kila mahali? Magufuli kama yuko sahihi basi ni katika kubashiri tuu ila in reality yy Ndugulile kama Daktari aliitendea haki fani yake.
Magufuli ni mtaalamu wa madawa ana PHD ya kemia huwezi mlinganisha na Ndugulile .

Madawa hugunduliwa na wakemia sio madaktari kama Ndugulile .Kazi ya daktari sio kugundua dawa wakemia ndio hugundua daktari kazi yake kuandika tu prescription ya dawa iliyogunduliwa na wakemia

Ndugulile hana proffessional authority ya kumpinnga Chemist Dr Magufuli

TO HELL WITH NDUGULILE
 
Angalau kafurukuta maana kutoka nje ya chama na kupata hizo kura si haba. inawezekana alijitahidi kujiweka karibu nao pamoja na ugeni wake
Kweli amejitahidi. Na mpinzani wake ameingia dakika za mwisho wakati yeye amejijenga kwa miaka mitano.

Amandla...
 
Lema hajawahi kuogopa majungu
Ni uchaguzi wa ndani wa sisiemu, hawajashinda chadema! Sijui unajua hilo....
Endelea kupigia vigeregere sisiemu ya jpm..
Vipi Gambo nae? Nasikia kashindwa...
Lema ajiandae sasa kuachia jimbo, asiyemoenda kaja.
 
Ni uchaguzi wa ndani wa sisiemu, hawajashinda chadema! Sijui unajua hilo....
Endelea kupigia vigeregere sisiemu ya jpm..
Vipi Gambo nae? Nasikia kashindwa...
Lema ajiandae sasa kuachia jimbo, asiyemoenda kaja.
Wana dsm tunafurahia kupigwa za shingo Bashite, ndiyo mjue kuwa hata wana ccm wenzenu hawampendi Bashite wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…