Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
KATIKA DHAMBI KUU ISIYOMUACHA N HII
MUNGU ADHIHAKIWI FB_IMG_1595259068869.jpg
FB_IMG_1595259068869.jpg
 
Binafsi ata Mimi nimependa hiyo idea yakuhesabiwa kwa uwazi pia imeonyesha wazi kuwa hakuna anaemkusudia kati yao.
 
MWENYE VIDEO YA GWAJIMA AKISEMA KUHUSU MH WETU HUYU NGOJA NAPITA TU
 
Safari yake imefika, mpe salam..
Pia yule wa moto chini kule mbeya, kiama kimefika...
Wanapukutishwa na wananchi mmoja baada ya wengine...

Sio kwa kura za wananchi, labda kwa maagizo ya rais.
 
Kama kuna watu wametafunwa na dhambi ya usaliti wa wananchi ni Nassari

Hata CCM hawakumkubali kwa jinsi alivyousaliti umma wa Arumeru

Kapata kura 26 , hata CCM hawakubaliani naye.

Jimbo la Arumeru ninyi ni vigogo
 
Back
Top Bottom