Hao madogo wa Nyerere nadhani enzi zimeshawatupa mkono, tatizo baba yao ali-hit zamani sana, hilo jina siku hizi limebaki kwenye vitabu vya historia, halina madhara tena, ni sawa tu na kutaja azimio la Arusha na mengineyo...
 
rudisha hela ya watu

pia ww ndiye umemwingiza cha kike

tafuta danga jingine
 
Kama sio mjumbe wa jimbo husika huruhusiwi kupiga kura.
Kuwa mwanachama pekee haitoshi kuwa mjumbe wa hivyo vikao vya kupiga kura.
 
Tutakuwa vinara wa demokrasia na nchi yetu itaheshimika Sana Kama utaratibu wa kuhesabu kura kwa uwazi utatumika kwa uchaguzi mkuu 2020. Umenikumbusha Marehemu Mh. Moi na kura za "mlolongo"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…