mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Mungu ni mkubwa sana, Mungu siyo AthumaniNg'ombe mwingine mkatwa mkia kapigwa chini huko Arusha.
Msaliti Calidti Lazaro. Meya mnunuliwa ameambulia kura mbili.. Yaani leo nina raha kuwaonyesha hawa wasaliti kwamba hana umasrufu wowote bali Chadema ndicho chama kiliwapa umasrufu. Tukutane 2025
Safi sanaTunduma
Aden Mwakyonde Kura 254
David silinde 121
kanusurika kichapoKatambi amedondokea yale meno meusi huko Shinyanga.
Muache akae hukohuko...yeye si alijiita kalai huyo..Kijana sijui atarudi Chadema ?
Saafi sanaaa...
Jimbo la Buchosa Mkoani mwanza
Dr Charles Tibeza 354
Erick Shigongo 354
Silinde na Mwakyembe nasubiri matokeo yaoSilinde huko vipi wakuu?
Ngoja nilale furaha yangu imetimiaTunduma
Aden Mwakyonde Kura 254
David silinde 121
Funguka bwashee!kanusurika kichapo
Mkuuuuuh leo sebene wapiiiiiiih, kamati ya roho mbaya.Labda Vita yako nae mkiwa Kitandani.
Mollel kapenya kwa kura moja
Kaangushwa chini chaliiiiiiiiihSilinde wakuu...tupeni taarifa
🤣🤣🤣 Wangemuuliza Molel siri ya mafanikio. Katambi atajuta kuuacha ukuu wa wilaya. Elimu yake yenyewe ya chuo cha kata st Augustine.
Kule kwa Maselle?!Alitia nia shy town na kaangukia pua atakuwa anavuja damu tu sasa hivi
Gambo ameshinda tayariAsiposhinda ( Asipoongoza ) Kesho ndiyo taratibu sasa nitaanza Kuamini kuwa kwa miaka ya hivi karibuni Waganga ' Mahiri ' wameisha Tanzania.