Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Hotuba ya Leo ameongea Vitu viwili muhimu
Moja kuna Doctor mmoja alienda kugombea kwao HAKUWA na fedha akashindwa akaendelea na tafiti Zake
Pili kuna wasomi wawili amewateua mmoja alikuwa analipwa laki 5 mwingine 6 lakini wamevumilia.
Amekiri bila hela kushinda ni ndoto na wasioridhika hawakubali kwenye utawala wake.
 
Ng'ombe mwingine mkatwa mkia kapigwa chini huko Arusha.
Msaliti Calidti Lazaro. Meya mnunuliwa ameambulia kura mbili.. Yaani leo nina raha kuwaonyesha hawa wasaliti kwamba hana umasrufu wowote bali Chadema ndicho chama kiliwapa umasrufu. Tukutane 2025
Mungu ni mkubwa sana, Mungu siyo Athumani
 
Back
Top Bottom