Poleni sana kwa yote lakini ndio demokrasia hiyo na tukumbuke pia kuna kushindwa na kushinda
Zaidi ya yote karibuni sana tuungane kwenye hizi foreni za Barabarani hapa Dar maana hufikia mtu kukaa hata masaa matatu ukiwa unaenda au kutoka mjini
Karibuni sana kitaani.
 
Kuna ukweli wowote kwamba Mwakyembe amegaragazwa?

 
Afadhali
Jmn maombi yangu tuone sura mpya,sio kila siku majina yaleyale!

JESUS IS LORD[emoji120]
Mie naumia huko kwetu jenista anachukua tyuuuuuh km aliweka eti zoteeeeeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We mzee nuksi sana
 
Mwanry alistaafu Mkubwa
 
SHABIBY ASHINDA KWA KISHINDO GAIRO Matokeo ya kura za maoni katika Jimbo la Gairo, Morogoro kwa watia nia wa Chama cha Mapinduzi (CCM): Ahmed Shabiby: 532 Dkt. Mmasa Joel: 8 Shehewa Chiduo: 6
Waongeze basi
 
Huenda ndiyo kapata muda wa kutosha kuongoza lile kundi la watu wasiojulikana. Who knows ?
Mwana kulitafuta mwana kulipata...sina ubaya na huyu mtu ila alijisahau kwakweli. Nafikiri ni funzo atabaki kwenye historia ili vizazi vijavyo vimsome na kuepuka kupitia mlango alioupita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…