Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pita na hizo link utamjuaNi nani huyo mbona hujamtaja?
JESUS IS LORD[emoji120]
Yani Jangili, jambazi Suleiman Nchambi mmelipitisha tena liwatumikie miaka 5 ijayo!!!!
Inauma Sana kwa kweli.
Nmeambiwa jamaa kagawa mkwanja kwa kila Mjumbe laki moja ,hapo si mnawauza mnaowawakilisha.
Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536
Mbunge wa Kishapu(CCM), Suleiman Nchambi aliyekutwa na silaha 16 aburuzwa mahakamani, asomewa mashitaka 12
CCM wanachukiwa kwasababu ya kutotenda haki basi,wakiendelea hivi hivi ndani na nje ya chama hatutakuwa na la kuwasemaKwa hili, NASIMAMA NA CCM!!.
HAKUNA WAKATI NIMEWAELEWA CCM KAMA SASA. [emoji122][emoji122][emoji122]
Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
Yani inasikitisha mnoNchambi au?
Juzi pale Dodoma Nchambi alikua anakata mauno jukwaani balaa kila nyimbo hakosi akitaka Magu amuone vzr anavyojitoa kwa chama kwa kukata uno kwa ustadi wa hali ya juu.
Ila huyu nna wasiwasi kama hatakatwa na wajuba kule juu.
Ni leo huko.Vipi Gwajima katoboa kura za maoni? Mwenye taarifa plz
Magufuli kivuli chochote kinachomzuia yeye ku shine ana fyeka tu. Kashfa ya jamaa inamuwekea mwenyekiti kiwingu.Nchambi au?
Juzi pale Dodoma Nchambi alikua anakata mauno jukwaani balaa kila nyimbo hakosi akitaka Magu amuone vzr anavyojitoa kwa chama kwa kukata uno kwa ustadi wa hali ya juu.
Ila huyu nna wasiwasi kama hatakatwa na wajuba kule juu.
Ccm Nyamagana mmejichanganya. Mmemrudisha Stanslaus ambae hamna Mwananchi anamtaka. Kamati kuu na nyie kama mtasupport huu upuuzi mkampitisha huyu mnunua ushindi, keep in mind jimbo linarudi Upinzani. Mtu kila mwananchi hamtaki ila kwenu kashinda! Mmejichanganya maboya nyie na tutawawajibisha.
[/QUOTE
Bashitenani huyu?
Wote hawafai mkuuni bora fisadi kuliko muuaji Wa kule kigambonino
Na hii ndio sababu iliyochangia watu wengi wakachukia ccm naamini ccm mpya itakuwa na sura mpya nyingi zenye kiu na uwezo wa kulipeleka taifa mbele sioni sababu ya mtu aliyekuwa mbunge kwa vipindi kadhaa na hakufanya lolote kurudi tena bungeni.Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa,Yani ccm wanataka kuleta mazoea ya zamani ya mbinu chafu na kuzidiana kete.
Hao wazee Kama kina Abasi mtemvu Zaid ya kuinufaisha familia hakuna lingine la kuifanyia nchi hii,ndo mama kazi yao ni kuwanyenyekea wajumbe na kuwapa chochote kitu ili wawapitishe.Bado wapo enzi za kuuza Mali ili ugombee ubunge kwa kua wanaamini ktk mbinu chafu za kuhonga wakalale bungeni tu
Wasafi asubuhi na kabla ya matokeo ya Kigamboni walikuwa wanaposti na pia wakawa wanamposti Makonda baba mlezi. Tangu matokeo yatoke wapo kimya sana! Inaoneka Meneja mambo ni kama baba Mlezi! Wizara ya michezo na utamaduni imeota mbawa!!
Sasa we una wasiwasi wa nini? Kwani hujaona taarifa ya Polepole?Yani Jangili, jambazi Suleiman Nchambi mmelipitisha tena liwatumikie miaka 5 ijayo!!!!
Inauma Sana kwa kweli.
Nmeambiwa jamaa kagawa mkwanja kwa kila Mjumbe laki moja ,hapo si mnawauza mnaowawakilisha.
Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536
Mbunge wa Kishapu(CCM), Suleiman Nchambi aliyekutwa na silaha 16 aburuzwa mahakamani, asomewa mashitaka 12
Mkoromije anaenda kupika kwenye meli ya Wagiriki, tena wale mabeberu haswa, wanaodaditishwa na msambwandaHuyu jamaa aliwahi kudai wabunge wote hawatakiwi kuwa Dar wakati Bunge likiendelea Dodoma na kwa maana hiyo kwa Mkoa aliokuwa anauongoza wa Dar wabunge waliokuwepo huko wote wakamatwe. Vivyo hivyo naye kwa sasa hana kazi ya kufanya Dar kwani anatakiwa arudi Koromije kule Misungwi akampigie kuraswaiba wake Mnyeti.
Kwa maana hiyo RPC Kanda Maalum ya Dar pls Kamata huyo mtu mara tu atakapoonekana yupo Dar. Apewe siku 3 tu za kufungasha mizigo yake aanze safari ya kuelekea, Koromije, Misungiwi, Mwanza.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Haki ya Mungu tena sometimes siasa tamu sana!
Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi
Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni 10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni 10,321.
Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.
------ UPDATE: MATOKEO YA KURA ZA MAONI -----
1. DAR ES SALAAM
Kinondoni
Abbas Tarimba - 171
Idd Azann kura - 77
George Wanyama - 32
Maulidi Mtulia - 11
Kigamboni - Kura 399
Dkt. Faustine Ndugulile - 190
Paul Makonda - 122
Ansar Kachwamba - 39
Kawe
Ilala
Sophia Edward Mjema 105
Mussa Azzan Zungu 148
Henry Sato Massaba 4
Rahma Ngassa 6
Grace Buberwa 6
Kibamba
Ubungo - Kura 375
Prof. Kitila Mkumbo - 172
Bi.Mwantum Mgonja - 73
Segerea
Bonnah Kamoli - 365
Asaa Simba - 41
Shaabani Oromi - 20
Ukonga
Temeke - Kura 367
Abbas Mtemvu - 203
Doris Kilave - 182
Abdallah Mtolea - 22.
2. SINGIDA
Iramba Magharibi
Singida Mjini
Musa Ramadhan Sima - 158
Charles Kisuke - 124
Hassan Mazala - 92
Singida Kaskazini
Iramba Mashariki
Iramba Magharibi
Manyoni Magharibi
Manyoni Mashariki
Singida Mashariki
Singida Magharibi
3. TABORA
Bukene
Igalula
Igunga
Kaliua
Manonga
Nzega Mjini - Kura 376
Bashe 367
Ruangisa 1
Mashili 6
Wengine 2
Nzega Vijijini
Sikonge
Tabora Mjini
Ulyankulu
Urambo
Uyui
4. PWANI
Kisarawe
1.Hassan Bangusilo- 1
2.Fransis Gosbert -1
3.Mohamed Masenga-1
4.Ally Goha -2
5.Zemba Mumbi -2
6.Zainabu Zowange-2
7.Chaulembo -3
8.Seleman Jafo - 588
Chalinze
Ridhiwan Kikwete - 369
Ramadhan Maneno - 273
Said Zikatimu - 223
Bagamoyo
Kibaha Mjini
Kibaha Vijijini
Hamoud Jumaa - 332
Michael Makamo - 33
Hussein Juma -31
Mafia
Mkuranga
Abdallah Ulega - 1138
Ramadhan Mlao - 50
Ally Mawe - 7
Kibiti
Rufiji
5. IRINGA
Isimani
Lukuvi - 453
Kiyoyo - 16
Mwilinge - 5
Kidunye - 5
Kalinga - 4
Mfilinge - 4
Kushoka - 0
Chengula - 0
Gange - 0
Iringa Mjini
Jesca Msambatavangu - 190
Nguvu Chengula - 75
Ibrahim Ngwada - 44
Kalenga
Kilolo
Mafinga Mjini
Cosato Chumi - 135
Dr. Bazil Tweve - 122
Mufindi Kaskazini
Mufindi Kusini
6. TANGA
Tanga Mjini
Bumbuli
January Makamba - 680
Abdulkadir Kaniki - 21
Muhajir Madiwa - 12
Mlalo
Pangani
Jumaa Awesso - 281
Kilindi
Mkinga
Handeni Vijijini
Muheza
Korogwe Mjini
Korogwe Vijijini
Lushoto
Handeni Mjini
7. GEITA
Geita Mjini
Geita Vijijini
Busanda
Mbogwe
Nyang'hwale
Hussen Nasoro Kasu - 355
John William Kabiki - 30
Frank Henry Magili - 2-
Bukombe
Doto Biteko - 555
Chato
8. MBEYA/SONGWE
Mbeya mjini - Kura 924
Tulia Ackson - 843
Vikita - 1
Mwakipesele - 11
Mwakaloge - 2
Mwaifani - 3
Bwiga - 1
Fugale - 1
Mabula - 16
Mwademba - 2
Wagombea wengine(23) - 00
Mbeya vijijini
Mbarali
Rungwe
Ileje
Mbozi
Vwawa
Japhet Hasunga - 552
Erick Minga - 129
Momba
Tunduma
Chunya
Kyela
Ally Mlagila Jumbe (Kinanasi) 502
Hanta Albert Mwakifuna 288
Dr. Harison George Mwakyembe 252
Busokelo
Lupa
9. MANYARA
Babati Mjini
Babati Vijijini
Hanang’
Kiteto
Mbulu Mjini
Mbulu Vijijini
Simanjiro
10. KILIMANJARO
Hai
Siha
Dk. Godwin Mollel - 148
Aggrey Mwanry - 147
Tumsifu Kweka - 53
Moshi Mjini - Kura 370
Ibrahim Shayo - 140
Priscus Tarimo - 137
Beno Malisa - 23
Mwanga
Anania Thadayo - 176
Profesa Jumanne Maghembe - 130
Same Magharibi
Moshi Vijijini
Vunjo - Kura 567
Enock Koola - 187
Dk. Charles Kimei - 178
Crispin Meela - 47
Rombo
Profesa Adolf Mkenda - 286
Anthony Mseke - 87
Colman Samora Kanje - 31
11. MOROGORO
Gairo
Shabiby - 532
Dkt.Mmasa Joel - 8
Shehewa Chiduo - 6
Kilombero
Kilosa
Mikumi
Mlimba
Morogoro Kusini
Morogoro Kusini Mashariki
Morogoro Mjini - Kura 638
1. Abdul-Aziz Abood - 524
2. Merkiory Manset - 17
3. Ally Yahaya Simba - 15
4. Idhah Omary Abdalah (Alsaedy) - 10
Mvomero
Ulanga Magharibi/ Malinyi
Ulanga Mashariki
12. MTWARA
Mtwara Mjini
Judith Nguli - 126
Hassan Mtenga - 94
Mussa Chimae
Mtwara Vijijini - kura 847
Aman Mtepa kura 1
Solomon Mushi 1
Said Nyengedi 1
Zhia Ally 2
Said Tewa 4
Privatus Mutungi 4
Rashid Nandonde 5
Yunus Nangapomi 5
Kais Mohamed 5
Augostino Nguli 11
Mohamed Lilanga 38.
Olivernus poul 139
Seleman Mwamba 191
Hawa Ghasia 440.
Nanyamba
Nanyumbu
Ndanda
Newala Mjini - Kura 526
George Mkuchika - 319
Rashidi Mtima - 121
Karimu Lichela - 42
Newala Vijijini
Tandahimba
Masasi
Lulindi
13. LINDI
Kilwa Kusini
Kilwa Kaskazini
Lindi Mjini
Liwale - Kura 482
Faith Mitambo - 363
Zuberi Kuchauka - 71
Halifa Kujakila
Mtama
Nape Nnauye - 496
Nahonyo Cuthbert 177
Chiwinga Aushuatino - 42
Mchinga
Nachingwea
Ruangwa
Majaliwa Kassim Majaliwa - Alikuwa peke yake
14. KATAVI
Katavi
Kavuu
Mpanda Mjini
Mpanda Vijijini
Nsimbo
15. NJOMBE
Njombe Kaskazini
Njombe Kusini
Makambako
Deo Sanga - 421
Robert Msigwa - 29
Mhandishi Sostenes Ngogo - 20
Wanging'ombe
Makete
Ludewa
Lupembe 421
Edwin Swale - 138 kati ya kura 421
Jorum Hongoli - 61
16. DODOMA
Bahi
Chemba
Chilonwa
Dodoma Mjini
Kibakwe
George Simbachawene - 667
Kwame Mwaga - 152
Augustine Gailanga -19
Kondoa Mjini
Kondoa Vijijini
Kongwa - Kura 889
Job Ndugai - 850
Dkt. Samora Mshanga - 20
Isaya - Mngulumi - 19
Mpwapwa
Mtera
Livingstone Lusinde - 571
Dkt. Michael Msende - 120
Mwanga Chibago - 37
17. MWANZA
Buchosa - Kura 751
Dkt. Charles Tizeba - 354
Erick Shigongo - 354
Ilemela - Kura 685
Dkt. Angeline Mabula - 502
Israel Mtambalike - 112
Kwimba
Magu
Misungwi
Alexander Mnyeti - 406
Charles Kitwanga - 259
Nyamagana
Stanslaus Mabula 319
John Nzwalile 54
Nzilanyingi John Francisco 46
Sengerema
Sumve
Ukerewe
18. RUVUMA
Songea Mjini
Nyasa
Tunduru Kaskazini
Tunduru Kusini
Peramiho
Jenister Mhagama - 845
Madaba
Namtumbo
Mbinga Mjini
Mbinga Vijijini
19. RUKWA
Sumbawanga Mjini
Nkansi Kaskazini
Nkansi Kusini
Kwela
Kalambo
20. KAGERA
Biharamulo
Bukoba Mjini
Bukoba Vijijini
Karagwe
Innocent Bashungwa - 587
Joseph Kahama - 48
Vedasto Gotfrida - 7
Kyerwa
Muleba Kaskazini
Muleba Kusini
Ngara
Nkenge
21. MARA
Bunda Mjini
Bunda Vijijini
Butiama
Jumanne Sagini - 84.
Frank Mahemba - 80
Joseph Nyamboha -
Musoma Mjini
Musoma Vijijini
Profesa Sosipeter Muhongo - 391
Joseph Nyamarege - 50
Maganga Paschal - 35
Rorya
Serengeti
Tarime Vijijini
Tarime Mjini
22. SHINYANGA
Kahama Mjini
Kishapu
Msalala
Shinyanga Mjini
Solwa
Ushetu
23. SIMIYU
Bariadi
Busega
Itilima
Kisesa
Luhaga Mpina - 316
Musa Mbuga - 152
Itandula Gambamala - 9
Maswa Mashariki
Maswa Magharibi
Meatu
24. KIGOMA
Buyungu
Kasulu Mjini
Prof. Joyce Ndalichako - 405
Daniel Nsanzugwanko - 80
Kasulu Vijijini
Kigoma Kaskazini
Kigoma Kusini/Uvinza
Kigoma Mjini
Manyovu
Muhambwe
25. ARUSHA
Arusha Mjini
Mrisho Gambo - 333
Philemon Mollel - 68
Albert Msando - 19
Karatu
Arumeru Magharibi
Arumeru Mashariki
Dkt. John D Pallangyo - 536
Dkt. Daniel M Pallangyo - 63
Joshua Nassari - 26.
Longido
Monduli
Ngorongoro