Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Yani Jangili, jambazi Suleiman Nchambi mmelipitisha tena liwatumikie miaka 5 ijayo!!!!

Inauma Sana kwa kweli.

Nmeambiwa jamaa kagawa mkwanja kwa kila Mjumbe laki moja ,hapo si mnawauza mnaowawakilisha.

Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536

Mbunge wa Kishapu(CCM), Suleiman Nchambi aliyekutwa na silaha 16 aburuzwa mahakamani, asomewa mashitaka 12

Kiujumla utaratibu wa wajumbe wachache kupiga kura huu utaratibu ni mbaya sn.
 
Nchambi au?

Juzi pale Dodoma Nchambi alikua anakata mauno jukwaani balaa kila nyimbo hakosi akitaka Magu amuone vzr anavyojitoa kwa chama kwa kukata uno kwa ustadi wa hali ya juu.

Ila huyu nna wasiwasi kama hatakatwa na wajuba kule juu.
Yani inasikitisha mno
 
Nchambi au?

Juzi pale Dodoma Nchambi alikua anakata mauno jukwaani balaa kila nyimbo hakosi akitaka Magu amuone vzr anavyojitoa kwa chama kwa kukata uno kwa ustadi wa hali ya juu.

Ila huyu nna wasiwasi kama hatakatwa na wajuba kule juu.
Magufuli kivuli chochote kinachomzuia yeye ku shine ana fyeka tu. Kashfa ya jamaa inamuwekea mwenyekiti kiwingu.
 
Uko Sawa kabida
Ccm Nyamagana mmejichanganya. Mmemrudisha Stanslaus ambae hamna Mwananchi anamtaka. Kamati kuu na nyie kama mtasupport huu upuuzi mkampitisha huyu mnunua ushindi, keep in mind jimbo linarudi Upinzani. Mtu kila mwananchi hamtaki ila kwenu kashinda! Mmejichanganya maboya nyie na tutawawajibisha.
[/QUOTE
 
Huyu jamaa aliwahi kudai wabunge wote hawatakiwi kuwa Dar wakati Bunge likiendelea Dodoma na kwa maana hiyo kwa Mkoa aliokuwa anauongoza wa Dar wabunge waliokuwepo huko wote wakamatwe. Vivyo hivyo naye kwa sasa hana kazi ya kufanya Dar kwani anatakiwa arudi Koromije kule Misungwi akampigie kuraswaiba wake Mnyeti.

Kwa maana hiyo RPC Kanda Maalum ya Dar please Kamata huyo mtu mara tu atakapoonekana yupo Dar. Apewe siku 3 tu za kufungasha mizigo yake aanze safari ya kuelekea, Koromije, Misungiwi, Mwanza.

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Haki ya Mungu tena sometimes siasa tamu sana!
 
Nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa,Yani ccm wanataka kuleta mazoea ya zamani ya mbinu chafu na kuzidiana kete.
Hao wazee Kama kina Abasi mtemvu Zaid ya kuinufaisha familia hakuna lingine la kuifanyia nchi hii,ndo mama kazi yao ni kuwanyenyekea wajumbe na kuwapa chochote kitu ili wawapitishe.Bado wapo enzi za kuuza Mali ili ugombee ubunge kwa kua wanaamini ktk mbinu chafu za kuhonga wakalale bungeni tu
Na hii ndio sababu iliyochangia watu wengi wakachukia ccm naamini ccm mpya itakuwa na sura mpya nyingi zenye kiu na uwezo wa kulipeleka taifa mbele sioni sababu ya mtu aliyekuwa mbunge kwa vipindi kadhaa na hakufanya lolote kurudi tena bungeni.

Taifa lina vijana wengi wazalendo ambao wangeweza kuwa viongozi wazuri lakini hata pesa ya kuchukua form walikosa naimani sana JPM hatotuangusha.
 
Wasafi asubuhi na kabla ya matokeo ya Kigamboni walikuwa wanaposti na pia wakawa wanamposti Makonda baba mlezi. Tangu matokeo yatoke wapo kimya sana! Inaoneka Meneja mambo ni kama baba Mlezi! Wizara ya michezo na utamaduni imeota mbawa!!

Wakuu hivi Bab tale naye naskia aligombea matokeo yake vipi?
 
Yani Jangili, jambazi Suleiman Nchambi mmelipitisha tena liwatumikie miaka 5 ijayo!!!!

Inauma Sana kwa kweli.

Nmeambiwa jamaa kagawa mkwanja kwa kila Mjumbe laki moja ,hapo si mnawauza mnaowawakilisha.

Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536

Mbunge wa Kishapu(CCM), Suleiman Nchambi aliyekutwa na silaha 16 aburuzwa mahakamani, asomewa mashitaka 12
Sasa we una wasiwasi wa nini? Kwani hujaona taarifa ya Polepole?
 
Huyu jamaa aliwahi kudai wabunge wote hawatakiwi kuwa Dar wakati Bunge likiendelea Dodoma na kwa maana hiyo kwa Mkoa aliokuwa anauongoza wa Dar wabunge waliokuwepo huko wote wakamatwe. Vivyo hivyo naye kwa sasa hana kazi ya kufanya Dar kwani anatakiwa arudi Koromije kule Misungwi akampigie kuraswaiba wake Mnyeti.

Kwa maana hiyo RPC Kanda Maalum ya Dar pls Kamata huyo mtu mara tu atakapoonekana yupo Dar. Apewe siku 3 tu za kufungasha mizigo yake aanze safari ya kuelekea, Koromije, Misungiwi, Mwanza.

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Haki ya Mungu tena sometimes siasa tamu sana!
Mkoromije anaenda kupika kwenye meli ya Wagiriki, tena wale mabeberu haswa, wanaodaditishwa na msambwanda
 
Wabunge
Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.


Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi

Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni 10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni 10,321.

Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.

------ UPDATE: MATOKEO YA KURA ZA MAONI -----

1. DAR ES SALAAM
Kinondoni

Abbas Tarimba - 171
Idd Azann kura - 77
George Wanyama - 32
Maulidi Mtulia - 11

Kigamboni - Kura 399

Dkt. Faustine Ndugulile - 190
Paul Makonda - 122
Ansar Kachwamba - 39

Kawe

Ilala

Sophia Edward Mjema 105
Mussa Azzan Zungu 148
Henry Sato Massaba 4
Rahma Ngassa 6
Grace Buberwa 6

Kibamba

Ubungo - Kura 375

Prof. Kitila Mkumbo - 172
Bi.Mwantum Mgonja - 73

Segerea
Bonnah Kamoli - 365
Asaa Simba - 41
Shaabani Oromi - 20

Ukonga

Temeke - Kura 367

Abbas Mtemvu - 203
Doris Kilave - 182
Abdallah Mtolea - 22.

2. SINGIDA

Iramba Magharibi

Singida Mjini

Musa Ramadhan Sima - 158
Charles Kisuke - 124
Hassan Mazala - 92

Singida Kaskazini
Iramba Mashariki
Iramba Magharibi
Manyoni Magharibi
Manyoni Mashariki
Singida Mashariki
Singida Magharibi


3. TABORA

Bukene
Igalula
Igunga
Kaliua
Manonga

Nzega Mjini - Kura 376
Bashe 367
Ruangisa 1
Mashili 6
Wengine 2

Nzega Vijijini
Sikonge
Tabora Mjini
Ulyankulu
Urambo
Uyui


4. PWANI

Kisarawe
1.Hassan Bangusilo- 1
2.Fransis Gosbert -1
3.Mohamed Masenga-1
4.Ally Goha -2
5.Zemba Mumbi -2
6.Zainabu Zowange-2
7.Chaulembo -3
8.Seleman Jafo - 588

Chalinze
Ridhiwan Kikwete - 369
Ramadhan Maneno - 273
Said Zikatimu - 223

Bagamoyo
Kibaha Mjini

Kibaha Vijijini
Hamoud Jumaa - 332
Michael Makamo - 33
Hussein Juma -31

Mafia

Mkuranga
Abdallah Ulega - 1138
Ramadhan Mlao - 50
Ally Mawe - 7

Kibiti
Rufiji

5. IRINGA
Isimani

Lukuvi - 453
Kiyoyo - 16
Mwilinge - 5
Kidunye - 5
Kalinga - 4
Mfilinge - 4
Kushoka - 0
Chengula - 0
Gange - 0

Iringa Mjini
Jesca Msambatavangu - 190
Nguvu Chengula - 75
Ibrahim Ngwada - 44

Kalenga
Kilolo

Mafinga Mjini
Cosato Chumi - 135
Dr. Bazil Tweve - 122

Mufindi Kaskazini
Mufindi Kusini

6. TANGA
Tanga Mjini

Bumbuli
January Makamba - 680
Abdulkadir Kaniki - 21
Muhajir Madiwa - 12

Mlalo

Pangani
Jumaa Awesso - 281

Kilindi
Mkinga
Handeni Vijijini
Muheza
Korogwe Mjini
Korogwe Vijijini
Lushoto
Handeni Mjini

7. GEITA
Geita Mjini
Geita Vijijini
Busanda
Mbogwe

Nyang'hwale
Hussen Nasoro Kasu - 355
John William Kabiki - 30
Frank Henry Magili - 2-

Bukombe
Doto Biteko - 555

Chato


8. MBEYA/SONGWE

Mbeya mjini - Kura 924

Tulia Ackson - 843
Vikita - 1
Mwakipesele - 11
Mwakaloge - 2
Mwaifani - 3
Bwiga - 1
Fugale - 1
Mabula - 16
Mwademba - 2
Wagombea wengine(23) - 00

Mbeya vijijini
Mbarali
Rungwe
Ileje
Mbozi

Vwawa
Japhet Hasunga - 552
Erick Minga - 129

Momba
Tunduma
Chunya

Kyela
Ally Mlagila Jumbe (Kinanasi) 502
Hanta Albert Mwakifuna 288
Dr. Harison George Mwakyembe 252

Busokelo
Lupa

9. MANYARA

Babati Mjini
Babati Vijijini
Hanang’
Kiteto
Mbulu Mjini
Mbulu Vijijini
Simanjiro

10. KILIMANJARO

Hai

Siha
Dk. Godwin Mollel - 148
Aggrey Mwanry - 147
Tumsifu Kweka - 53


Moshi Mjini - Kura 370
Ibrahim Shayo - 140
Priscus Tarimo - 137
Beno Malisa - 23

Mwanga
Anania Thadayo - 176
Profesa Jumanne Maghembe - 130

Same Magharibi
Moshi Vijijini

Vunjo - Kura 567
Enock Koola - 187
Dk. Charles Kimei - 178
Crispin Meela - 47

Rombo
Profesa Adolf Mkenda - 286
Anthony Mseke - 87
Colman Samora Kanje - 31

11. MOROGORO

Gairo
Shabiby - 532
Dkt.Mmasa Joel - 8
Shehewa Chiduo - 6

Kilombero
Kilosa
Mikumi
Mlimba
Morogoro Kusini
Morogoro Kusini Mashariki

Morogoro Mjini - Kura 638
1. Abdul-Aziz Abood - 524
2. Merkiory Manset - 17
3. Ally Yahaya Simba - 15
4. Idhah Omary Abdalah (Alsaedy) - 10

Mvomero
Ulanga Magharibi/ Malinyi
Ulanga Mashariki

12. MTWARA
Mtwara Mjini
Judith Nguli - 126
Hassan Mtenga - 94
Mussa Chimae

Mtwara Vijijini - kura 847
Aman Mtepa kura 1
Solomon Mushi 1
Said Nyengedi 1
Zhia Ally 2
Said Tewa 4
Privatus Mutungi 4
Rashid Nandonde 5
Yunus Nangapomi 5
Kais Mohamed 5
Augostino Nguli 11
Mohamed Lilanga 38.
Olivernus poul 139
Seleman Mwamba 191
Hawa Ghasia 440.

Nanyamba
Nanyumbu
Ndanda

Newala Mjini - Kura 526
George Mkuchika - 319
Rashidi Mtima - 121
Karimu Lichela - 42

Newala Vijijini
Tandahimba
Masasi
Lulindi

13. LINDI
Kilwa Kusini
Kilwa Kaskazini
Lindi Mjini

Liwale - Kura 482
Faith Mitambo - 363
Zuberi Kuchauka - 71
Halifa Kujakila

Mtama
Nape Nnauye - 496
Nahonyo Cuthbert 177
Chiwinga Aushuatino - 42

Mchinga
Nachingwea

Ruangwa
Majaliwa Kassim Majaliwa - Alikuwa peke yake

14. KATAVI
Katavi
Kavuu
Mpanda Mjini
Mpanda Vijijini
Nsimbo

15. NJOMBE

Njombe Kaskazini
Njombe Kusini

Makambako
Deo Sanga - 421
Robert Msigwa - 29
Mhandishi Sostenes Ngogo - 20

Wanging'ombe
Makete
Ludewa

Lupembe 421
Edwin Swale - 138 kati ya kura 421
Jorum Hongoli - 61


16. DODOMA
Bahi
Chemba
Chilonwa
Dodoma Mjini

Kibakwe
George Simbachawene - 667
Kwame Mwaga - 152
Augustine Gailanga -19

Kondoa Mjini
Kondoa Vijijini

Kongwa - Kura 889
Job Ndugai - 850
Dkt. Samora Mshanga - 20
Isaya - Mngulumi - 19

Mpwapwa

Mtera
Livingstone Lusinde - 571
Dkt. Michael Msende - 120
Mwanga Chibago - 37

17. MWANZA

Buchosa - Kura 751

Dkt. Charles Tizeba - 354
Erick Shigongo - 354

Ilemela - Kura 685
Dkt. Angeline Mabula - 502
Israel Mtambalike - 112

Kwimba
Magu

Misungwi
Alexander Mnyeti - 406
Charles Kitwanga - 259

Nyamagana
Stanslaus Mabula 319
John Nzwalile 54
Nzilanyingi John Francisco 46

Sengerema
Sumve
Ukerewe


18. RUVUMA
Songea Mjini
Nyasa
Tunduru Kaskazini
Tunduru Kusini

Peramiho
Jenister Mhagama - 845

Madaba
Namtumbo
Mbinga Mjini
Mbinga Vijijini

19. RUKWA
Sumbawanga Mjini
Nkansi Kaskazini
Nkansi Kusini
Kwela
Kalambo

20. KAGERA
Biharamulo
Bukoba Mjini
Bukoba Vijijini

Karagwe
Innocent Bashungwa - 587
Joseph Kahama - 48
Vedasto Gotfrida - 7

Kyerwa
Muleba Kaskazini
Muleba Kusini
Ngara
Nkenge

21. MARA
Bunda Mjini
Bunda Vijijini

Butiama
Jumanne Sagini - 84.
Frank Mahemba - 80
Joseph Nyamboha -

Musoma Mjini

Musoma Vijijini
Profesa Sosipeter Muhongo - 391
Joseph Nyamarege - 50
Maganga Paschal - 35

Rorya
Serengeti
Tarime Vijijini
Tarime Mjini

22. SHINYANGA
Kahama Mjini
Kishapu
Msalala
Shinyanga Mjini
Solwa
Ushetu

23. SIMIYU
Bariadi
Busega
Itilima

Kisesa
Luhaga Mpina - 316
Musa Mbuga - 152
Itandula Gambamala - 9

Maswa Mashariki
Maswa Magharibi
Meatu

24. KIGOMA
Buyungu

Kasulu Mjini
Prof. Joyce Ndalichako - 405
Daniel Nsanzugwanko - 80

Kasulu Vijijini
Kigoma Kaskazini
Kigoma Kusini/Uvinza
Kigoma Mjini
Manyovu
Muhambwe


25. ARUSHA

Arusha Mjini

Mrisho Gambo - 333
Philemon Mollel - 68
Albert Msando - 19

Karatu

Arumeru Magharibi

Arumeru Mashariki
Dkt. John D Pallangyo - 536
Dkt. Daniel M Pallangyo - 63
Joshua Nassari - 26.

Longido

Monduli

Ngorongoro

Wabunge wazamani wametembeza rushwa sn.
 
Back
Top Bottom