Round ya kwanza tu konde lilikuwa la uzito gan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 


Ungenijibu kwa lugha ninayoielewa ili niweze kukujibu mkuu
 
Wale wajumbe wapiga kura wengi maisha magumu tu ndo maana wanauza haki zao kwa 100k.

Basi Kama huyo jangili ana upepo akaihonge na Kama kuu ya CCM chini ya jiwe JPM.
 
Toka amefiwa na mkewe hayupo sawa
Na kipindi kile anaongea kwa nyodo kwamba "mimi mtu wa darasa la 2 ataniambia nini, wakati nina degree 4, nimefundishwa vyuo mbalimbali duniani, we darasa la 2 utaniambia nini!" Ina maana wakati ule alikuwa ameshafiwa na huyo mkewe?
 
We jamaa unaelekea mdini sana! Kwahiyo Joyce kenda Kasulu kwa sababu anajua kwavile yeye ni Mkristo, na Kasulu wengi ni Wakristo, basi watamchagua kwa sababu ni Mkristo mwenzao sio?


Ameshachaguliwa tayari. Mimi siyo mdini ila Nina dini na sijabagua mtu ila nimetoa maoni yangu
 

Huyo jina likienda Dodoma halirudi, trust me, majangili hayana nafasi awamu hii, jina lake likienda Dodoma litabakia huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…