Kwani sheria inasemaje kuhusu mgombea ubunge aliyepata kuhukumiwa mahakamani kwa makosa ya jinai?Yani Jangili, jambazi Suleiman Nchambi mmelipitisha tena liwatumikie miaka 5 ijayo!!!!
Inauma Sana kwa kweli.
Nmeambiwa jamaa kagawa mkwanja kwa kila Mjumbe laki moja ,hapo si mnawauza mnaowawakilisha.
Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536
Mbunge wa Kishapu(CCM), Suleiman Nchambi aliyekutwa na silaha 16 aburuzwa mahakamani, asomewa mashitaka 12
Rais atakuwa na wigo finyu Sana kupata mawaziri anajaziwa wazee na under performers. Bado rushwa bado IPONi kweli, vijana wapewe nafasi ila kipaumbele kiwe uwezo wa mtu katika kutenda. Kigezo cha umri tu hakiyoshi badala yake waangalie watu wenye uwezo wa kuwaletea wananchi maendeleo
Naona Producer Master J warombo wamemnyoosha kwny kura sio?Rombo kashinda Prof Mkenda, akichaguliwa kuwa mbunge anakwenda kuwa waziri wa utalii.
Ndo natakavkujua hapo na mie
Weee uko wapi kwanKulikono wakuu?
Usihofu huyu ataenda kuchinjiwa Idodomya.Yani Jangili, jambazi Suleiman Nchambi mmelipitisha tena liwatumikie miaka 5 ijayo!!!!
Inauma Sana kwa kweli.
Nmeambiwa jamaa kagawa mkwanja kwa kila Mjumbe laki moja ,hapo si mnawauza mnaowawakilisha.
Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536
Mbunge wa Kishapu(CCM), Suleiman Nchambi aliyekutwa na silaha 16 aburuzwa mahakamani, asomewa mashitaka 12
Hakika tunasubiri kwa hamu kubwa kipigo cha mbwa koko, kitakachompata huyo anayejiita mtumishi wa MunguNaomba niweke wazi tu kuwa ambavyo watu wameonyesha hisia zao mitandaoni juu ya anguko la Makonda katika kura za maoni,leo tutarajie kuona hisia za aine ile ile na pengine hisia kali zaidi iwapo Gwajima nae ataenda kuangukia pua katika kura za maoni za Jimbo la Kawe.
Alafu watu wote hawa wana asili ya eneo moja-Koromije!!
What a coincidence will be!!!
Waitara?!Waunga juhudi:
Kafulila chalii
Mtolea chalii
Lijuakali chaliii
Silinde Chalii
Katambi Chalii
Albert Msando chalii
Jushua Nasari Chalii
Patrobas Katambi chalii
Waitara chalii
List inaendelea
Wote wametia nia na wamepita kwa kura za kishindo
[emoji23][emoji23][emoji23] Unawajua mwanzo mwishoNa ukuwadi wa madanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wazi hawa watu kutoka hiyo sehemu ya nchi wana tatizo kubwa sana kujisahau katika maisha.Hakika tunasubiri kwa hamu kubwa kipigo cha mbwa koko, kitakachompata huyo anayejiita mtumishi wa Mungu