Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Yani Jangili, jambazi Suleiman Nchambi mmelipitisha tena liwatumikie miaka 5 ijayo!!!!

Inauma Sana kwa kweli.

Nmeambiwa jamaa kagawa mkwanja kwa kila Mjumbe laki moja ,hapo si mnawauza mnaowawakilisha.

Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536

Mbunge wa Kishapu(CCM), Suleiman Nchambi aliyekutwa na silaha 16 aburuzwa mahakamani, asomewa mashitaka 12
Kwani sheria inasemaje kuhusu mgombea ubunge aliyepata kuhukumiwa mahakamani kwa makosa ya jinai?
 
Ni kweli, vijana wapewe nafasi ila kipaumbele kiwe uwezo wa mtu katika kutenda. Kigezo cha umri tu hakiyoshi badala yake waangalie watu wenye uwezo wa kuwaletea wananchi maendeleo
Rais atakuwa na wigo finyu Sana kupata mawaziri anajaziwa wazee na under performers. Bado rushwa bado IPO
Hivyo cc wanafanye KAZI Yao Kwa maslahi ya nchi.
 
Naomba niweke wazi tu kuwa ambavyo watu wameonyesha hisia zao mitandaoni juu ya anguko la Makonda katika kura za maoni,leo tutarajie kuona hisia za aine ile ile na pengine hisia kali zaidi iwapo Gwajima nae ataenda kuangukia pua katika kura za maoni za Jimbo la Kawe.

Alafu watu wote hawa wana asili ya eneo moja-Koromije!!

What a coincidence will be!!!
 
Naomba niweke wazi tu kuwa ambavyo watu wameonyesha hisia zao mitandaoni juu ya anguko la Makonda katika kura za maoni,leo tutarajie kuona hisia za aine ile ile na pengine hisia kali zaidi iwapo Gwajima nae ataenda kuangukia pua katika kura za maoni za Jimbo la Kawe.

Alafu watu wote hawa wana asili ya eneo moja-Koromije!!

What a coincidence will be!!!
Hakika tunasubiri kwa hamu kubwa kipigo cha mbwa koko, kitakachompata huyo anayejiita mtumishi wa Mungu
 
Kama alivyomfuta Makonda kwenye ulimwengu wa siasa na yeye pia anaenda kufutwa kwenye ulimwengu huo huo aliotumia kumfuta mwenzake kwenye siasa, Karma itajibu
 
Back
Top Bottom