Mbunge anayeongoza kwa kuomba miongozo bungeni.Km jenista kasharoga kule kwetu peramiho, ni mbunge forever aaaaaj
Hili siyo issue, issue kubwa ni kuwa wana dsm tumemkataa MakondaBado kamari ya roho mbaya haijakaa ukisikia nyuma geuka wa mwisho anakuwa wa kwanza [emoji1787][emoji28][emoji125]
Kwa kura za maoni zinavyoendelea ndani ya chama,ni wazi Sasa CC ya chama inapaswa Kuja na maamuzi ya busara zaid huku wakijiridhisha Kama Kuna kitu nyuma yake,binafsi kwa mwenendo was hizi kura za maoni kunaonekana bado Kuna kimtandao kinajijenga chini kwa chini,huku wakiendekeza mihemuko ya chuki na kuandaa mazingira ya kulinda maslahi yao ambayo yalikomea awamu ya nne.
Kwa jicho lingine waangalie Hawa wazee walopita kwa kura za maoni waekwe pembeni kupisha vijana wajenge nchi.
Wazee Hawa ndo was miaka nenda Rudi na ndiyo mzee yao bungeni huku wakisinzia muda mwingi wa vikao,wanakua macho muda wa uchaguzi tu huku wakitumia mbinu nyingi chafu kupata nafasi za uwakilishi.
Mh. Katibu Mkuu hapa ndipo utapoonyesha no namna gani unajenga chama na si kukirudisha kule kilipotoka.
Wenye chama chao wameamua[emoji615] warning light is on
Atapata U-RC tena!
Huyu mzee alikuwa mlafiSasa kama umeshiba mbona anaendelea kula tu
Huo si ndiyo urohoo+ulafi
Wajumbe walikuwa wanamtazama tu [emoji23][emoji23]wanasema tunakusubiria
Ova
Yaani mie ananikera baas tyuuuh, mbaya zaidi anajimwambafy hakuna wa kumtoa paleee. KhaaaaaaahMbunge anayeongoza kwa kuomba miongozo bungeni.
Kuna Dogo wa Kamanda wa polisi wa Zamani Lucas Nghoboko alitia Nia kule, Sijui matokeo Yake; NIlisoma naye Kabla sijakuja Ughaibuni.Kishap wengi shule hamna ni wilaya iliyolala kabisaa
Mwenzie ana chopa, au watahofia kufilikunjombe.?Asubiri kidogo mkuu,kuna mwenzake wa Koromije aitwae Gwajima nae atakatwa leo ili wapeane lift kwny gari warudi wote koromije.
@pasco naomba unijibu je ule uzi wako kuwa wanaounga juhudi wanaona mbali kwa matokeo haya umeona hali halisi ilivyo angalia jinsi waunga juhudi wanavyomabulia mtu mpaka top 3 hayupo unategemea niniMkuu Kuhani Noah, kila kiumbe rijali ni lazima kupenda hili tunda, nimesema kumposa, kumuoa na kumtuliza, hivyo kuoa ni jambo la kheri, ningekuwa tamtamani kumpitia tuu, then ndio ungesema napenda sana chini! na huo ni uharibifu, lakini kumpenda mtu kwa lengo la kumuoa, ni jambo zuri, ni jambo jema na ni jambo lla kheri.
P
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weee hebu niache mie uwiiiiiiih,[emoji23][emoji23][emoji23] Unawajua mwanzo mwisho
Inashangaza sana Chadema badala mfikirie hali yenu mbaya ya kisiasa mnawaza matokeo ya Ccm.
Gwajima mjinga sana .......... nimemsikia juzi anaongea kanisani kwakwe kuhusu kugomea ubunge , anajaribu kuwaaminisha wafuasi wake kama vile katumwa na Mungu kugombea!!Hakika tunasubiri kwa hamu kubwa kipigo cha mbwa koko, kitakachompata huyo anayejiita mtumishi wa Mungu