Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Kwa kura za maoni zinavyoendelea ndani ya chama,ni wazi Sasa CC ya chama inapaswa Kuja na maamuzi ya busara zaid huku wakijiridhisha Kama Kuna kitu nyuma yake,binafsi kwa mwenendo was hizi kura za maoni kunaonekana bado Kuna kimtandao kinajijenga chini kwa chini,huku wakiendekeza mihemuko ya chuki na kuandaa mazingira ya kulinda maslahi yao ambayo yalikomea awamu ya nne.

Kwa jicho lingine waangalie Hawa wazee walopita kwa kura za maoni waekwe pembeni kupisha vijana wajenge nchi.

Wazee Hawa ndo was miaka nenda Rudi na ndiyo mzee yao bungeni huku wakisinzia muda mwingi wa vikao,wanakua macho muda wa uchaguzi tu huku wakitumia mbinu nyingi chafu kupata nafasi za uwakilishi.

Mh. Katibu Mkuu hapa ndipo utapoonyesha no namna gani unajenga chama na si kukirudisha kule kilipotoka.

Mlitegemea Magufuli awapitishe huko CCM kisha awaibie kura hapo October 25. Imekula kwenu tokea lini CCM ikiwa rafiki kwa vijana? Vijana kwao ni Upinzani. By the way Hugo Magufuli mwenyewe na hali mbaya alafu mlitegemea awapiganie nyinyi badala ajipiganie mwenyewe.

Pambaneni na hali zenu na tamaa zenu za fisi. Mmeteuliwa hamliziki mnakimbilia ubunge,nyambafu nyie.
 
Korogwe vijijini hiyoView attachment 1512545
IMG-20200720-WA0193.jpg
 
Sasa kama umeshiba mbona anaendelea kula tu
Huo si ndiyo urohoo+ulafi
Wajumbe walikuwa wanamtazama tu [emoji23][emoji23]wanasema tunakusubiria

Ova
Huyu mzee alikuwa mlafi
Ameng'ang'ana kama kupe.
Apumzike wenzie wale.
 
Kishap wengi shule hamna ni wilaya iliyolala kabisaa
Kuna Dogo wa Kamanda wa polisi wa Zamani Lucas Nghoboko alitia Nia kule, Sijui matokeo Yake; NIlisoma naye Kabla sijakuja Ughaibuni.
Kishapu ni hali mbaya Mnoo, Nilikuwa nikienda nakaa kwao sana, yani hali sio nzuri kabisa;
 
Mkuu Kuhani Noah, kila kiumbe rijali ni lazima kupenda hili tunda, nimesema kumposa, kumuoa na kumtuliza, hivyo kuoa ni jambo la kheri, ningekuwa tamtamani kumpitia tuu, then ndio ungesema napenda sana chini! na huo ni uharibifu, lakini kumpenda mtu kwa lengo la kumuoa, ni jambo zuri, ni jambo jema na ni jambo lla kheri.

P
@pasco naomba unijibu je ule uzi wako kuwa wanaounga juhudi wanaona mbali kwa matokeo haya umeona hali halisi ilivyo angalia jinsi waunga juhudi wanavyomabulia mtu mpaka top 3 hayupo unategemea nini
 
Hakika tunasubiri kwa hamu kubwa kipigo cha mbwa koko, kitakachompata huyo anayejiita mtumishi wa Mungu
Gwajima mjinga sana .......... nimemsikia juzi anaongea kanisani kwakwe kuhusu kugomea ubunge , anajaribu kuwaaminisha wafuasi wake kama vile katumwa na Mungu kugombea!!
 
Back
Top Bottom