Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kawe vipi huko? Kuna mtia nia anaitwa David Richard Mlewa au Eric Daniels
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jenista alsoChenge na Hawa Ghasia have decided to stay put...Sad!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weee hebu niache mie uwiiiiiiih,
.Nimemwona Chenge kwenye list, huyu jamaa atakuwa na umri gani saa hizi?
Umetumia lugha ya udhalilishaji wa kingOno. .. ushabiki maandazi wenu ndio maana mmewekwa mfukoniWanabodi,
Kile kipute kigumu kuliko vyote cha kura za maoni CCM ni jimbo la Kawe
ambapo watu 176 wamejitokeza kuwania jimbo hilo.
Mimi mwana JF wako, Pasco Mayalla niko usawa huu kutuletea Live kipute hiki Kutoka Ukumbini wa Kiramuu Hall hapa Mbezi Beach, kushuhudia Upigaji Kura za Maoni CCM, Wagombea 176 Kuchuana Kumposa Halima Mdee Ili kumuoa, kumtuliza na Kumpumzisha awe mama wa nyumbani, archie jimbo, atulie kulea mume, watoto na kujenga familia.
Nani Kuibuka Kidedea?!.
Andamana nami.
Paskali
Umenikumbusha mbali wakati ule magazeti yake udaku yapo juu Sana alivyoyatumia kumpaka matope Amina Chifupa...Shigongo kaanza kugombea na Amina Chifupa RIP
Na ugomvi wao mpaka anamuandama na magazeti yake ni nafasi ya kupitia UVCCM Amina alimshinda kwa kutumia kigezo cha gender.
Pia Shigongo ni mfadhili wa CCM siku nyingi mpk akadhulumiwa kontena zima la T shirts(Mama Zakia Meghji akiwa Mhazini mkuu akamwambia kunywa maji mwanangu[emoji1][emoji1])
Lema yuko zake anakunywa wine kwa furaha baada ya kuletewa kibonde Gambo.Arusha lema anapita saa 4 asubuhi.mbele ya mrisho gambo.
Halafu Shigongo ni mfadhili mkubwa snaa wa CCM.Kura zitapigwa tena kuwashindanisha hao wawili tu. Wakifungana tena wanarusha shillingi. Shigongo anaweza kupenya. Nguvu ya global tv si ya kuchezea.
Naombeni List ya Tabora Mjini[emoji112]Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.
Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi
Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni 10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni 10,321.
Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.
------ UPDATE: MATOKEO YA KURA ZA MAONI -----
1. DAR ES SALAAM
Kinondoni
Abbas Tarimba - 171
Idd Azann kura - 77
George Wanyama - 32
Maulidi Mtulia - 11
Kigamboni - Kura 399
Dkt. Faustine Ndugulile - 190
Paul Makonda - 122
Ansar Kachwamba - 39
Kawe
Ilala
Sophia Edward Mjema 105
Mussa Azzan Zungu 148
Henry Sato Massaba 4
Rahma Ngassa 6
Grace Buberwa 6
Kibamba
Ubungo - Kura 375
Prof. Kitila Mkumbo - 172
Bi.Mwantum Mgonja - 73
Segerea
Bonnah Kamoli - 365
Asaa Simba - 41
Shaabani Oromi - 20
Ukonga
Temeke - Kura 367
Abbas Mtemvu - 203
Doris Kilave - 182
Abdallah Mtolea - 22.
2. SINGIDA
Iramba Magharibi
Singida Mjini
Musa Ramadhan Sima - 158
Charles Kisuke - 124
Hassan Mazala - 92
Singida Kaskazini
Iramba Mashariki
Iramba Magharibi
Manyoni Magharibi
Manyoni Mashariki
Singida Mashariki
Singida Magharibi
3. TABORA
Bukene
Igalula
Igunga
Kaliua
Manonga
Nzega Mjini - Kura 376
Bashe 367
Ruangisa 1
Mashili 6
Wengine 2
Nzega Vijijini
Sikonge
Tabora Mjini
Ulyankulu
Urambo
Uyui
4. PWANI
Kisarawe
1.Hassan Bangusilo- 1
2.Fransis Gosbert -1
3.Mohamed Masenga-1
4.Ally Goha -2
5.Zemba Mumbi -2
6.Zainabu Zowange-2
7.Chaulembo -3
8.Seleman Jafo - 588
Chalinze
Ridhiwan Kikwete - 369
Ramadhan Maneno - 273
Said Zikatimu - 223
Bagamoyo
Kibaha Mjini
Kibaha Vijijini
Hamoud Jumaa - 332
Michael Makamo - 33
Hussein Juma -31
Mafia
Mkuranga
Abdallah Ulega - 1138
Ramadhan Mlao - 50
Ally Mawe - 7
Kibiti
Rufiji
5. IRINGA
Isimani
Lukuvi - 453
Kiyoyo - 16
Mwilinge - 5
Kidunye - 5
Kalinga - 4
Mfilinge - 4
Kushoka - 0
Chengula - 0
Gange - 0
Iringa Mjini
Jesca Msambatavangu - 190
Nguvu Chengula - 75
Ibrahim Ngwada - 44
Kalenga
Kilolo
Mafinga Mjini
Cosato Chumi - 135
Dr. Bazil Tweve - 122
Mufindi Kaskazini
Mufindi Kusini
6. TANGA
Tanga Mjini
Bumbuli
January Makamba - 680
Abdulkadir Kaniki - 21
Muhajir Madiwa - 12
Mlalo
Pangani
Jumaa Awesso - 281
Kilindi
Mkinga
Handeni Vijijini
Muheza
Korogwe Mjini
Mary Chatanda - 113
Dkt. Alfred Kimea - 55
Mathew Mganga - 19
Korogwe Vijijini
Lushoto
Handeni Mjini
7. GEITA
Geita Mjini
Geita Vijijini
Busanda
Mbogwe
Nyang'hwale
Hussen Nasoro Kasu - 355
John William Kabiki - 30
Frank Henry Magili - 2-
Bukombe
Doto Biteko - 555
Chato
8. MBEYA/SONGWE
Mbeya mjini - Kura 924
Tulia Ackson - 843
Vikita - 1
Mwakipesele - 11
Mwakaloge - 2
Mwaifani - 3
Bwiga - 1
Fugale - 1
Mabula - 16
Mwademba - 2
Wagombea wengine(23) - 00
Mbeya vijijini
Mbarali
Rungwe
Ileje
Mbozi
Vwawa
Japhet Hasunga - 552
Erick Minga - 129
Momba
Tunduma
Chunya
Kyela
Ally Mlagila Jumbe (Kinanasi) 502
Hanta Albert Mwakifuna 288
Dr. Harison George Mwakyembe 252
Busokelo
Lupa
9. MANYARA
Babati Mjini
Babati Vijijini
Hanang’
Kiteto
Mbulu Mjini
Mbulu Vijijini
Simanjiro
10. KILIMANJARO
Hai
Siha
Dk. Godwin Mollel - 148
Aggrey Mwanry - 147
Tumsifu Kweka - 53
Moshi Mjini - Kura 370
Ibrahim Shayo - 140
Priscus Tarimo - 137
Beno Malisa - 23
Mwanga
Anania Thadayo - 176
Profesa Jumanne Maghembe - 130
Same Magharibi
Moshi Vijijini
Vunjo - Kura 567
Enock Koola - 187
Dk. Charles Kimei - 178
Crispin Meela - 47
Rombo
Profesa Adolf Mkenda - 286
Anthony Mseke - 87
Colman Samora Kanje - 31
11. MOROGORO
Gairo
Shabiby - 532
Dkt.Mmasa Joel - 8
Shehewa Chiduo - 6
Kilombero
Kilosa
Mikumi
Mlimba
Morogoro Kusini
Morogoro Kusini Mashariki
Morogoro Mjini - Kura 638
1. Abdul-Aziz Abood - 524
2. Merkiory Manset - 17
3. Ally Yahaya Simba - 15
4. Idhah Omary Abdalah (Alsaedy) - 10
Mvomero
Amosi Makala - 321
Selemani Sadiq - 231
Jonas Van Zeland - 12
Ulanga Magharibi/ Malinyi
Ulanga Mashariki
12. MTWARA
Mtwara Mjini
Judith Nguli - 126
Hassan Mtenga - 94
Mussa Chimae
Mtwara Vijijini - kura 847
Aman Mtepa kura 1
Solomon Mushi 1
Said Nyengedi 1
Zhia Ally 2
Said Tewa 4
Privatus Mutungi 4
Rashid Nandonde 5
Yunus Nangapomi 5
Kais Mohamed 5
Augostino Nguli 11
Mohamed Lilanga 38.
Olivernus poul 139
Seleman Mwamba 191
Hawa Ghasia 440.
Nanyamba
Nanyumbu
Ndanda
Newala Mjini - Kura 526
George Mkuchika - 319
Rashidi Mtima - 121
Karimu Lichela - 42
Newala Vijijini
Tandahimba
Masasi
Lulindi
13. LINDI
Kilwa Kusini
Kilwa Kaskazini
Lindi Mjini
Liwale - Kura 482
Faith Mitambo - 363
Zuberi Kuchauka - 71
Halifa Kujakila
Mtama
Nape Nnauye - 496
Nahonyo Cuthbert 177
Chiwinga Aushuatino - 42
Mchinga
Nachingwea
Ruangwa
Majaliwa Kassim Majaliwa - Alikuwa peke yake
14. KATAVI
Katavi
Kavuu
Pudensiana Kikwembe - 178
jofrey Mizengo Pinda - 74
Emmanuel Zumba - 52
Mpanda Mjini
Mpanda Vijijini
Nsimbo
15. NJOMBE
Njombe Kaskazini
Njombe Kusini
Makambako
Deo Sanga - 421
Robert Msigwa - 29
Mhandishi Sostenes Ngogo - 20
Wanging'ombe
Makete
Ludewa
Lupembe 421
Edwin Swale - 138 kati ya kura 421
Jorum Hongoli - 61
16. DODOMA
Bahi
Chemba
Chilonwa
Dodoma Mjini
Kibakwe
George Simbachawene - 667
Kwame Mwaga - 152
Augustine Gailanga -19
Kondoa Mjini
Kondoa Vijijini
Kongwa - Kura 889
Job Ndugai - 850
Dkt. Samora Mshanga - 20
Isaya - Mngulumi - 19
Mpwapwa
Mtera
Livingstone Lusinde - 571
Dkt. Michael Msende - 120
Mwanga Chibago - 37
17. MWANZA
Buchosa - Kura 751
Dkt. Charles Tizeba - 354
Erick Shigongo - 354
Ilemela - Kura 685
Dkt. Angeline Mabula - 502
Israel Mtambalike - 112
Kwimba
Magu
Misungwi
Alexander Mnyeti - 406
Charles Kitwanga - 259
Nyamagana
Stanslaus Mabula 319
John Nzwalile 54
Nzilanyingi John Francisco 46
Sengerema
Sumve
Ukerewe
18. RUVUMA
Songea Mjini
Nyasa
Tunduru Kaskazini
Tunduru Kusini
Peramiho
Jenister Mhagama - 845
Madaba
Namtumbo
Mbinga Mjini
Mbinga Vijijini
Benaya Kapinga - 247
Gaudence Kayombo - 196
John Ndunguru - 194
19. RUKWA
Sumbawanga Mjini
Nkansi Kaskazini
Nkansi Kusini
Kwela
Kalambo
20. KAGERA
Biharamulo
Bukoba Mjini
Bukoba Vijijini
Karagwe
Innocent Bashungwa - 587
Joseph Kahama - 48
Vedasto Gotfrida - 7
Kyerwa
Muleba Kaskazini
Charles Mwijage - 387
Edward Mujungu - 135
Adonisia Bitegeko - 30
Muleba Kusini
Ngara
Nkenge
Florent Kyombo - 102
Asumpta Mshama - 93
Dkt. Diodorous Kamala - 24
21. MARA
Bunda Mjini
Bunda Vijijini
Butiama
Jumanne Sagini - 84.
Frank Mahemba - 80
Joseph Nyamboha -
Musoma Mjini
Musoma Vijijini
Profesa Sosipeter Muhongo - 391
Joseph Nyamarege - 50
Maganga Paschal - 35
Rorya
Serengeti
Tarime Vijijini
Tarime Mjini
22. SHINYANGA
Kahama Mjini
Kishapu
Msalala
Shinyanga Mjini
Stephen Masele - 152
Jonathan Manyama - 65
Gasper Kileo - 51
Shinyanga Vijijini
Ahmed Salum - 377
Azza Hilal Hamad - 304
Jeremia John Jiriri - 35
Solwa
Ushetu
23. SIMIYU
Bariadi
Andrew Chenge - 442
Mhandisi Andrew Mathew - 339
Busega
Itilima
Kisesa
Luhaga Mpina - 316
Musa Mbuga - 152
Itandula Gambamala - 9
Maswa Mashariki
Maswa Magharibi
Meatu
24. KIGOMA
Buyungu
Kasulu Mjini
Prof. Joyce Ndalichako - 405
Daniel Nsanzugwanko - 80
Kasulu Vijijini
Kigoma Kaskazini
Kigoma Kusini/Uvinza
Kigoma Mjini
Manyovu
Muhambwe
Atashata Nditiye - 250
Jamali Abdalah - 96
Dickson Bidebel - 50
25. ARUSHA
Arusha Mjini
Mrisho Gambo - 333
Philemon Mollel - 68
Albert Msando - 19
Karatu
Arumeru Magharibi
Arumeru Mashariki
Dkt. John D Pallangyo - 536
Dkt. Daniel M Pallangyo - 63
Joshua Nassari - 26.
Longido
Monduli
Ngorongoro
Naomba uvue nguo utembee uchi bashite kachezea kichapo kikali sana nadhani atamuadithia babu yake mzee Daudi.
Aesh 419 swanga mjini.
J Kandege 630 Kalambo
Nkasi kusini naambiwa Kaegele.
Nkasi kaskazini na Kwela bado sijapata info
Wakipata umaarufu wanajiona wao ndio kila kitu, asubiri kubebwa na kamati au kuteuliwa
Point ya kuzingatia hiiNa akibebwa na kamati kwa hawa wasaliti wakija kwa wananchi wana ccm huwa wanaungana na wapinzani kumaliza kazi ..mapema tu .....hivyo ndio namna wapinzani wanavyoshindaga
Arudi aje kuendelea kuwauza kina sweets na delicious. Huhuhuhuhuh[emoji38][emoji38][emoji38]
Huyu mzee nae khaaaaah, anataka kufia kwenye mjengo au?
Kwetu akichezesha kalamu tu tunampa mpinzaniWANAOPITISHWA
I AZZAN
C.KIMEI
COSATO
M.ZUNGU
A.ABOOOOD
PROF NDALICHAKO
D.KILAVE
HASNA.MJL
J.TADAYO
M.MHITA
A.MAKANIKI
G.SIMBA CHAWENE(BABALAO)
E.SHIGONGO