Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Nimemwona Chenge kwenye list, huyu jamaa atakuwa na umri gani saa hizi?
.
Screenshot_20200721-093716.jpg
 
Wanabodi,
Kile kipute kigumu kuliko vyote cha kura za maoni CCM ni jimbo la Kawe
ambapo watu 176 wamejitokeza kuwania jimbo hilo.

Mimi mwana JF wako, Pasco Mayalla niko usawa huu kutuletea Live kipute hiki Kutoka Ukumbini wa Kiramuu Hall hapa Mbezi Beach, kushuhudia Upigaji Kura za Maoni CCM, Wagombea 176 Kuchuana Kumposa Halima Mdee Ili kumuoa, kumtuliza na Kumpumzisha awe mama wa nyumbani, archie jimbo, atulie kulea mume, watoto na kujenga familia.

Nani Kuibuka Kidedea?!.

Andamana nami.

Paskali
Umetumia lugha ya udhalilishaji wa kingOno. .. ushabiki maandazi wenu ndio maana mmewekwa mfukoni
 
Shigongo kaanza kugombea na Amina Chifupa RIP

Na ugomvi wao mpaka anamuandama na magazeti yake ni nafasi ya kupitia UVCCM Amina alimshinda kwa kutumia kigezo cha gender.

Pia Shigongo ni mfadhili wa CCM siku nyingi mpk akadhulumiwa kontena zima la T shirts(Mama Zakia Meghji akiwa Mhazini mkuu akamwambia kunywa maji mwanangu[emoji1][emoji1])
Umenikumbusha mbali wakati ule magazeti yake udaku yapo juu Sana alivyoyatumia kumpaka matope Amina Chifupa...

Jamaa wa siku nyingi sana na ukumbuke awamu zote hizo alikuwa anatoa hela tu bila marejesho.

Na watu aina ya Shigongo wengi sana ndani ya CCM wamewekeza ubunge miaka na miaka.

Halafu utegemee muunga juhudi awamu ya tano utatoboa kirahisi ndani ya msitu wa CCM thubutu.
 
Kura zitapigwa tena kuwashindanisha hao wawili tu. Wakifungana tena wanarusha shillingi. Shigongo anaweza kupenya. Nguvu ya global tv si ya kuchezea.
Halafu Shigongo ni mfadhili mkubwa snaa wa CCM.
 
Haya kumeshakucha tena La mgambo likilia ujue kuna jambo.


Kwa mujibu wa ratiba ya CCM, leo na kesho ni siku ya Mikutano Mikuu ya CCM ya Majimbo/Wilaya kupiga kura za maoni za wagombea wa ubunge na ujumbe wa baraza la wawakilishi

Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Magufuli waliochukua kugombea nafasi za Ubunge na uwakilishi ni 10,367. Waliokamilisha kujaza fomu na kurejesha ni 10,321.

Watanzania wataelekeza zaidi macho na masikio yao maeneo yenye upinzani mkali kama Kigamboni, Arusha mjini, Simanjiro, Kyela, Mbeya mjini, Mwibara, Misungwi, Same Mashariki, Tunduma, Tarime Vijijini na Ubungo ni baadhi ya maeneo yanayoangaliwa kwa jicho la tatu.

------ UPDATE: MATOKEO YA KURA ZA MAONI -----

1. DAR ES SALAAM
Kinondoni

Abbas Tarimba - 171
Idd Azann kura - 77
George Wanyama - 32
Maulidi Mtulia - 11

Kigamboni - Kura 399

Dkt. Faustine Ndugulile - 190
Paul Makonda - 122
Ansar Kachwamba - 39

Kawe

Ilala

Sophia Edward Mjema 105
Mussa Azzan Zungu 148
Henry Sato Massaba 4
Rahma Ngassa 6
Grace Buberwa 6

Kibamba

Ubungo - Kura 375

Prof. Kitila Mkumbo - 172
Bi.Mwantum Mgonja - 73

Segerea
Bonnah Kamoli - 365
Asaa Simba - 41
Shaabani Oromi - 20

Ukonga

Temeke - Kura 367

Abbas Mtemvu - 203
Doris Kilave - 182
Abdallah Mtolea - 22.

2. SINGIDA

Iramba Magharibi

Singida Mjini

Musa Ramadhan Sima - 158
Charles Kisuke - 124
Hassan Mazala - 92

Singida Kaskazini
Iramba Mashariki
Iramba Magharibi
Manyoni Magharibi
Manyoni Mashariki
Singida Mashariki
Singida Magharibi


3. TABORA

Bukene
Igalula
Igunga
Kaliua
Manonga

Nzega Mjini - Kura 376
Bashe 367
Ruangisa 1
Mashili 6
Wengine 2

Nzega Vijijini
Sikonge
Tabora Mjini
Ulyankulu
Urambo
Uyui


4. PWANI

Kisarawe
1.Hassan Bangusilo- 1
2.Fransis Gosbert -1
3.Mohamed Masenga-1
4.Ally Goha -2
5.Zemba Mumbi -2
6.Zainabu Zowange-2
7.Chaulembo -3
8.Seleman Jafo - 588

Chalinze
Ridhiwan Kikwete - 369
Ramadhan Maneno - 273
Said Zikatimu - 223

Bagamoyo
Kibaha Mjini

Kibaha Vijijini
Hamoud Jumaa - 332
Michael Makamo - 33
Hussein Juma -31

Mafia

Mkuranga
Abdallah Ulega - 1138
Ramadhan Mlao - 50
Ally Mawe - 7

Kibiti
Rufiji

5. IRINGA
Isimani

Lukuvi - 453
Kiyoyo - 16
Mwilinge - 5
Kidunye - 5
Kalinga - 4
Mfilinge - 4
Kushoka - 0
Chengula - 0
Gange - 0

Iringa Mjini
Jesca Msambatavangu - 190
Nguvu Chengula - 75
Ibrahim Ngwada - 44

Kalenga
Kilolo

Mafinga Mjini
Cosato Chumi - 135
Dr. Bazil Tweve - 122

Mufindi Kaskazini
Mufindi Kusini

6. TANGA
Tanga Mjini

Bumbuli
January Makamba - 680
Abdulkadir Kaniki - 21
Muhajir Madiwa - 12

Mlalo

Pangani
Jumaa Awesso - 281

Kilindi
Mkinga
Handeni Vijijini
Muheza

Korogwe Mjini
Mary Chatanda - 113
Dkt. Alfred Kimea - 55
Mathew Mganga - 19

Korogwe Vijijini
Lushoto
Handeni Mjini

7. GEITA
Geita Mjini
Geita Vijijini
Busanda
Mbogwe

Nyang'hwale
Hussen Nasoro Kasu - 355
John William Kabiki - 30
Frank Henry Magili - 2-

Bukombe
Doto Biteko - 555

Chato


8. MBEYA/SONGWE

Mbeya mjini - Kura 924

Tulia Ackson - 843
Vikita - 1
Mwakipesele - 11
Mwakaloge - 2
Mwaifani - 3
Bwiga - 1
Fugale - 1
Mabula - 16
Mwademba - 2
Wagombea wengine(23) - 00

Mbeya vijijini
Mbarali
Rungwe
Ileje
Mbozi

Vwawa
Japhet Hasunga - 552
Erick Minga - 129

Momba
Tunduma
Chunya

Kyela
Ally Mlagila Jumbe (Kinanasi) 502
Hanta Albert Mwakifuna 288
Dr. Harison George Mwakyembe 252

Busokelo
Lupa

9. MANYARA

Babati Mjini
Babati Vijijini
Hanang’
Kiteto
Mbulu Mjini
Mbulu Vijijini
Simanjiro

10. KILIMANJARO

Hai

Siha
Dk. Godwin Mollel - 148
Aggrey Mwanry - 147
Tumsifu Kweka - 53


Moshi Mjini - Kura 370
Ibrahim Shayo - 140
Priscus Tarimo - 137
Beno Malisa - 23

Mwanga
Anania Thadayo - 176
Profesa Jumanne Maghembe - 130

Same Magharibi
Moshi Vijijini

Vunjo - Kura 567
Enock Koola - 187
Dk. Charles Kimei - 178
Crispin Meela - 47

Rombo
Profesa Adolf Mkenda - 286
Anthony Mseke - 87
Colman Samora Kanje - 31

11. MOROGORO

Gairo
Shabiby - 532
Dkt.Mmasa Joel - 8
Shehewa Chiduo - 6

Kilombero
Kilosa
Mikumi
Mlimba
Morogoro Kusini
Morogoro Kusini Mashariki

Morogoro Mjini - Kura 638
1. Abdul-Aziz Abood - 524
2. Merkiory Manset - 17
3. Ally Yahaya Simba - 15
4. Idhah Omary Abdalah (Alsaedy) - 10

Mvomero
Amosi Makala - 321
Selemani Sadiq - 231
Jonas Van Zeland - 12

Ulanga Magharibi/ Malinyi
Ulanga Mashariki

12. MTWARA
Mtwara Mjini
Judith Nguli - 126
Hassan Mtenga - 94
Mussa Chimae

Mtwara Vijijini - kura 847
Aman Mtepa kura 1
Solomon Mushi 1
Said Nyengedi 1
Zhia Ally 2
Said Tewa 4
Privatus Mutungi 4
Rashid Nandonde 5
Yunus Nangapomi 5
Kais Mohamed 5
Augostino Nguli 11
Mohamed Lilanga 38.
Olivernus poul 139
Seleman Mwamba 191
Hawa Ghasia 440.

Nanyamba
Nanyumbu
Ndanda

Newala Mjini - Kura 526
George Mkuchika - 319
Rashidi Mtima - 121
Karimu Lichela - 42

Newala Vijijini
Tandahimba
Masasi
Lulindi

13. LINDI
Kilwa Kusini
Kilwa Kaskazini
Lindi Mjini

Liwale - Kura 482
Faith Mitambo - 363
Zuberi Kuchauka - 71
Halifa Kujakila

Mtama
Nape Nnauye - 496
Nahonyo Cuthbert 177
Chiwinga Aushuatino - 42

Mchinga
Nachingwea

Ruangwa
Majaliwa Kassim Majaliwa - Alikuwa peke yake

14. KATAVI
Katavi

Kavuu
Pudensiana Kikwembe - 178
jofrey Mizengo Pinda - 74
Emmanuel Zumba - 52

Mpanda Mjini
Mpanda Vijijini
Nsimbo

15. NJOMBE

Njombe Kaskazini
Njombe Kusini

Makambako
Deo Sanga - 421
Robert Msigwa - 29
Mhandishi Sostenes Ngogo - 20

Wanging'ombe
Makete
Ludewa

Lupembe 421
Edwin Swale - 138 kati ya kura 421
Jorum Hongoli - 61


16. DODOMA
Bahi
Chemba
Chilonwa
Dodoma Mjini

Kibakwe
George Simbachawene - 667
Kwame Mwaga - 152
Augustine Gailanga -19

Kondoa Mjini
Kondoa Vijijini

Kongwa - Kura 889
Job Ndugai - 850
Dkt. Samora Mshanga - 20
Isaya - Mngulumi - 19

Mpwapwa

Mtera
Livingstone Lusinde - 571
Dkt. Michael Msende - 120
Mwanga Chibago - 37

17. MWANZA

Buchosa - Kura 751

Dkt. Charles Tizeba - 354
Erick Shigongo - 354

Ilemela - Kura 685
Dkt. Angeline Mabula - 502
Israel Mtambalike - 112

Kwimba
Magu

Misungwi
Alexander Mnyeti - 406
Charles Kitwanga - 259

Nyamagana
Stanslaus Mabula 319
John Nzwalile 54
Nzilanyingi John Francisco 46

Sengerema
Sumve
Ukerewe


18. RUVUMA
Songea Mjini
Nyasa
Tunduru Kaskazini
Tunduru Kusini

Peramiho
Jenister Mhagama - 845

Madaba
Namtumbo
Mbinga Mjini

Mbinga Vijijini
Benaya Kapinga - 247
Gaudence Kayombo - 196
John Ndunguru - 194

19. RUKWA
Sumbawanga Mjini
Nkansi Kaskazini
Nkansi Kusini
Kwela
Kalambo

20. KAGERA
Biharamulo
Bukoba Mjini
Bukoba Vijijini

Karagwe
Innocent Bashungwa - 587
Joseph Kahama - 48
Vedasto Gotfrida - 7

Kyerwa

Muleba Kaskazini
Charles Mwijage - 387
Edward Mujungu - 135
Adonisia Bitegeko - 30

Muleba Kusini
Ngara

Nkenge
Florent Kyombo - 102
Asumpta Mshama - 93
Dkt. Diodorous Kamala - 24

21. MARA
Bunda Mjini
Bunda Vijijini

Butiama
Jumanne Sagini - 84.
Frank Mahemba - 80
Joseph Nyamboha -

Musoma Mjini

Musoma Vijijini
Profesa Sosipeter Muhongo - 391
Joseph Nyamarege - 50
Maganga Paschal - 35

Rorya
Serengeti
Tarime Vijijini
Tarime Mjini

22. SHINYANGA
Kahama Mjini
Kishapu
Msalala

Shinyanga Mjini
Stephen Masele - 152
Jonathan Manyama - 65
Gasper Kileo - 51

Shinyanga Vijijini
Ahmed Salum - 377
Azza Hilal Hamad - 304
Jeremia John Jiriri - 35

Solwa
Ushetu

23. SIMIYU

Bariadi

Andrew Chenge - 442
Mhandisi Andrew Mathew - 339

Busega
Itilima

Kisesa
Luhaga Mpina - 316
Musa Mbuga - 152
Itandula Gambamala - 9

Maswa Mashariki
Maswa Magharibi
Meatu

24. KIGOMA
Buyungu

Kasulu Mjini
Prof. Joyce Ndalichako - 405
Daniel Nsanzugwanko - 80

Kasulu Vijijini
Kigoma Kaskazini
Kigoma Kusini/Uvinza
Kigoma Mjini
Manyovu

Muhambwe
Atashata Nditiye - 250
Jamali Abdalah - 96
Dickson Bidebel - 50


25. ARUSHA

Arusha Mjini

Mrisho Gambo - 333
Philemon Mollel - 68
Albert Msando - 19

Karatu

Arumeru Magharibi

Arumeru Mashariki
Dkt. John D Pallangyo - 536
Dkt. Daniel M Pallangyo - 63
Joshua Nassari - 26.

Longido

Monduli

Ngorongoro
Naombeni List ya Tabora Mjini[emoji112]
 
Back
Top Bottom