mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,950
- 5,317
Ndugu wajumbe mnao tegemea kupiga kura za Maoni jimbo la Kawe, itapendeza gwajima kama atatoa ufafanuzi wa hoja zifuatazo.
Mosi:hoja ya kuifanya misikiti kua Sunday schools, alimaanisha nini hasa. ?
Pili :hoja ya yeye kuapa kua hawezi kua rais, waziri au mbunge kwa kigezo cha kujishushaaa cheo, vipi leo awe tayari kuutaka ubunge. ?
Tatu :rushwa, kwanini alipo kua viwanja vya tanganyika pekasi alitumia sana rushwa kumhonga hasani ngonyani alie kua mwenyekiti wa kawe mzimuni na wajumbe wa sisim ili wapunguze malalamiko juu ya kelekelee alizokua anasababisha. ? . Askofu ma rushwa wapi na wapi? .
Mwisho. Kwanini anapotoa msaada kwa jamii au tasiisi inageuka nongwa. ? . Ana anza kuwasimanga. ?
Mosi:hoja ya kuifanya misikiti kua Sunday schools, alimaanisha nini hasa. ?
Pili :hoja ya yeye kuapa kua hawezi kua rais, waziri au mbunge kwa kigezo cha kujishushaaa cheo, vipi leo awe tayari kuutaka ubunge. ?
Tatu :rushwa, kwanini alipo kua viwanja vya tanganyika pekasi alitumia sana rushwa kumhonga hasani ngonyani alie kua mwenyekiti wa kawe mzimuni na wajumbe wa sisim ili wapunguze malalamiko juu ya kelekelee alizokua anasababisha. ? . Askofu ma rushwa wapi na wapi? .
Mwisho. Kwanini anapotoa msaada kwa jamii au tasiisi inageuka nongwa. ? . Ana anza kuwasimanga. ?