Halafu ni mkosoaji mkubwa wa Mh Zitto; hawezi hamia ACTMbunge aliyatamba na kupata jina katika awamu yake moja ya ubunge (2010-2015) chini ya NCCR-Mageuzi bwana David kafulila amepigwa za uso na Mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo Hilo,Hasna Mwilima.
Dhambi ya usaliti wa upinzani haitawaacha salama, wajifunze kulidhika.View attachment 1512628
Umeshajiuza mkuu. Tunasubiria matokeoMkuu Kuhani Noah, kila kiumbe rijali ni lazima kupenda hili tunda, nimesema kumposa, kumuoa na kumtuliza, hivyo kuoa ni jambo la kheri, ningekuwa tamtamani kumpitia tuu, then ndio ungesema napenda sana chini! na huo ni uharibifu, lakini kumpenda mtu kwa lengo la kumuoa, ni jambo zuri, ni jambo jema na ni jambo lla kheri.
P
Ni vigumu kupima uwezo wa Msomi kwa dakika moja (dakika 1).Haya yanayoendelea kawe Ni dhahiri wasomi wetu Wana uwezo mdogo wakujieleza
Ahsantee mkuu ngoja nisubir banvinchaAmepata Prof. Adolf Mkenda ambaye alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mali Asili na Utalii
Hii channel ten yani ovyo kabisa
Kabisa Ni mzaha Tena wakijinga kabisa
Zitto alimsaidia Sana kushinda huo Uchaguzi, baadae kafulila kapata jina akaanza kumvimbia KIZITO....Rafu aliyochezewa 2015 inasemekana KIZITO alihusikaHalafu ni mkosoaji mkubwa wa Mh Zitto; hawezi hamia ACT
Ule mkono wake wa kushoto vipi?Uncle pascally mayalla ndani ya nyumba, support kwako
[emoji23][emoji23][emoji23]kajamaa kanaleta sera za uongo balaaaMillion 100 za Pascal Mayalla
Pascal Mayalla si alitia nia?? Matokeo yake vipi wadau[emoji1787][emoji1787]