Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Amekuja kwetu tena
Heeeeh huyu Nkurunzinza imekuaje tena? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila [emoji1241] kuna kila aina ya kituko khaaaaaaah.
 
Nikweli lazima hasa sisi wana jf tujipongeze kwa kupaza sauti zetu ambazo zimewafikia wapiga kura na kufanya maamuzi sahihi.

Tuendelee kupaza sauti kwa kutoa elimu ya uraia ili wananchi wajue ni yupi mtu wa kumchagua, waache kuuza kura zao kwa khanga au T-shirt na kilo moja ya sukari.
Kikubwa tunachojifunza ni hiki:

When there is something interesting going on in our society, the social media too becomes an interesting part of our society.

Kuelekea Oktoba 28 mwaka huu,tuwekeze katika mitandao ya kijamii na pia tuitumie vizuri mitandao ya kijamii kwani inaweza kutusaidia kuleta mabadiliko katika nchi vyetu.
 
Asenger(Kilombero) kashinda!
Asenger na Mrisho ni marafiki wa Makonda. Next time inabidi wa MFUNDE!!
 
Uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM unatoa picha kuwa CCM huwa haishindi kihalali katika chaguzi mbalimbali zinazofanyika, ushindi wake ni wakijanjajanja tu.

Kama hivi ambapo wenyewe kwa wenyewe wamejaribu kufanya uchaguzi wa huru na haki, uchaguzi usiokuwa na rushwa,uchaguzi wa wazi kwa kila mtu, mamuruki wamedhibitiwa,matokeo yake ni kwamba hata wale ambao hawakutegemea kuanguka kwenye kura za maoni wamepigwa chini kwa kuwa hawajazoe kushinda kwa halali bila kuzunguka mbuyu.
 
Watu wa mkoa wa Dar es Salaam interest yetu ilikua kigamboni, huko pengine hapatuhusu hata maruhani yakishinda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Maeneo ya mipakani mwingiliano wa makabila ni mkubwa ni kitu cha kawaida kukuta Onyango jaluo mtanzania wa Tarime na Onyango jaluo MKENYA wa wa kisumu kenya

Lakini pia Tanzania mbona tunao kibao tu wahutu na watusi,Serikali ilitoa uraia kwa wahutu na watusi laki mbili wakimbizi waliokaa muda mrefu nchini miaka michache iliyopita.Tanzania tuna makabila mawili yaliyoongezeka ya watusi na wahutu

Sasa hivi ukikuta mtu anajitambulisha kama mhutu au mtusi usimshangae wapo kibao wamepewa urai na familia zao

Kenya imeongeza kabila jipya la wahindi kama mojawapo ya makabila ya Kenya likiwa kabila la 44

Heeeeeh makubwa hayaah bhanaah
 
Back
Top Bottom