Heeeeh huyu Nkurunzinza imekuaje tena? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila [emoji1241] kuna kila aina ya kituko khaaaaaaah.
Pascal kavurugwa hata kabla uchaguzi haujafanyikaMwana JF kasema atagawa mil 10 kwa kila kata, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Democracy ina maana gani sasa kama tuna angalia mwenyewe convincing power? Ni nani alikuwa na ushawishi mkubwa 2015 CCM kama EL na Membe? Lakini leo si wote tunaona matunda Safi kabisa ya JPM kuwa Rais je wangefata convincing power hii almasi mchangani ingepatikana kweli?
Kikubwa tunachojifunza ni hiki:
When there is something interesting going on in our society, the social media too becomes an interesting part of our society.
Kuelekea Oktoba 28 mwaka huu,tuwekeze katika mitandao ya kijamii na pia tuitumie vizuri mitandao ya kijamii kwani inaweza kutusaidia kuleta mabadiliko katika nchi vyetu.
Dah kigwangala[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]Nzega
Hamisi Kigwangala =415
John Doto =264
Kumbe maendeleo yanaletwa kwa kuongea na Rais!
Akae pembeni nayeye asubiri uteuzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawezi kwenda upinzani kwa gharama yo yote ileBusara itumike Jimbo la Vunjo, Kimei arudi
Aporudi akienda upinzani atamchanachana mpinzani wake vibaya sana
Vipi mkuu ndio ivo tena ukisikia wasompenda kaja ndio hii sasa.Dah kigwangala[emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wanalia kweli kweli wanaogopa buku 10 walizopewa khaaaaqhMakonda kashapigwa za uso vijana wake humu wamebaki kulialia tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahWatu wa mkoa wa Dar es Salaam interest yetu ilikua kigamboni, huko pengine hapatuhusu hata maruhani yakishinda
Sijayaona ngoja tusubiri.
Heeeeeh makubwa hayaah bhanaahMaeneo ya mipakani mwingiliano wa makabila ni mkubwa ni kitu cha kawaida kukuta Onyango jaluo mtanzania wa Tarime na Onyango jaluo MKENYA wa wa kisumu kenya
Lakini pia Tanzania mbona tunao kibao tu wahutu na watusi,Serikali ilitoa uraia kwa wahutu na watusi laki mbili wakimbizi waliokaa muda mrefu nchini miaka michache iliyopita.Tanzania tuna makabila mawili yaliyoongezeka ya watusi na wahutu
Sasa hivi ukikuta mtu anajitambulisha kama mhutu au mtusi usimshangae wapo kibao wamepewa urai na familia zao
Kenya imeongeza kabila jipya la wahindi kama mojawapo ya makabila ya Kenya likiwa kabila la 44