Ila Yule mdada ni kifaa aisee hata Mimi ningekua bungeni ningepigana nimpate nimfokonyoeBona mpeni haki yake kapambana Sana Ni resources tu hazitoshi Ila kidogo alichopata kakisimamia
Tunduma vp
Yaan hii nchi n commedy toshaaaah, ukiyaona ya Nkurunzinza utastaajabu ya makonda, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amekuja kwetu tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weee acha tyuuuuh, namsubiri baadae humu ndani khaaaaahPascal kavurugwa hata kabla uchaguzi haujafanyika
Kilichowaponza ni kwamba hawakufanya tathmini ya kutosha. Wengine huwa wanajipitishapitisha kwa wananchi ili wajulikane na kama watagombea kweli iwe inatoka rohoni si vinginevyo! Labda wateluiwe kama nafasi zingine kama vile DC, RC, Balozi n.kHao madogo wa Nyerere nadhani enzi zimeshawatupa mkono, tatizo baba yao ali-hit zamani sana, hilo jina siku hizi limebaki kwenye vitabu vya historia, halina madhara tena, ni sawa tu na kutaja azimio la Arusha na mengineyo...
Kizigha anaongoza!Ngoja tuone nani atachinjwa leo
Huko twitter makonda anaropoka hovyoooh tyuuh, yaan khaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akae pembeni nayeye asubiri uteuzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hajalia na leo
Ni unabii bwashee!Kwani amepita kura za maoni huko ccm?
Heeeeeeeh huyu shangazi angu hachoki tyuuuuuuh, khaaaaaaaah mweeeeeeehJenista Kashinda kura kama 840 hivi
Na Songea mjini Ndumbaro kashinda
Ngoja niyatafute naweka hapa
Samahani mkuu hivi wewe Me au Ke,Samahini lakini..Heeeeeeeh huyu shangazi angu hachoki tyuuuuuuh, khaaaaaaaah mweeeeeeeh
Gwajima ni mhuni flani tu ..... sasa anataka kujificha nyuma ya kichaka cha siasa. Nafikiri CCM siyo wajinga kiasi hicho. Kama wameweza kumpiga chini Jecha bila hata kumuonea aibu kwa kazi yake ya 2015 .... ndiyo awe Gwajima wa mtaani tu!!Lugha za uchaguzi hizi......yaani askofu " anamchinja" Halima mapema asubuhi.
Kweli ukichanganya dini na siasa lazima uharibikiwe.
Ngoja tuone
Maendeleo hayana vyama!
Huyu ndo anachuana na gwajima...mashinji hadi saiz sijamsikiaShikamooo mama wa Taifa Angela Charles kiziga.
Kawe oyeeee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mbona mayalla simsikii kunani tena...Shikamooo mama wa Taifa Angela Charles kiziga.
Kawe oyeeeeππππππ
kwenye siasa si ubabe wa pesa tu hata ngumi zipo, ukijifanya moderator unakutana na ma radicalFunguka bwashee!