Kwa ule mzigo aliobeba Gwajima na kuanza kupongezwa kule kuna dalili nzuri kwake.
 
Mkoa wa Kigoma
Kasulu Vijijini

Augustine Vuma 266 (alikuwa mbunge anayemaliza muda wake)
Agripina Buyogera 97
Samson F. Kabogo 70
Betola Juma Kulikiza 46
Emanuel T. Msasa 26
Yona P. Msongwa 21
Adam P. Mkuyu 20
Prof. Hudson Nkotagu 18
Leonard L. Nyanzira 11
Gibson Bunyaga 10

Kwa hiyo Augustine Vuma ameongoza kutetea Ubunge katika Jimbo aliloliwakilisha.

Buyungu
Kamamba 50
Msakila 47
Gwegenyeza 44
Eng. C. Chiza 33

Kwa hiyo Eng. Christopher Chiza ameshika nafasi ya 4 kwenye Jimbo alilokuwa mbunge

Buhigwe
Dr. Philip Mpango 297
Obama 76
 
Mpaka leo bado mko wapumbafu namna hii eti kumwambia Rais kwani rais anatoa hela ya mfukoni kwake?
 
Kuna tetesi kua makonda kahama chadema ni kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…