Usinambieeeeeeh? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mayala chalii kapata kura moja... [emoji23][emoji23][emoji23]
yaani huyu mla kondoo amekua mchinjaji Wa watu!?Lugha za uchaguzi hizi......yaani askofu " anamchinja" Halima mapema asubuhi.
Kweli ukichanganya dini na siasa lazima uharibikiwe.
Ngoja tuone
Maendeleo hayana vyama!
Yaaan weee acha tyuuuuh, kule home kwetu aaaaaahHuko peramiho ccm inaonekana kama mungu
Furaha dominic
Angella
Gwajima
Tatu bora hii
Mpaka leo bado mko wapumbafu namna hii eti kumwambia Rais kwani rais anatoa hela ya mfukoni kwake?kati ya makonda na ndungulile ni nani ambae ana ushawishi wa kumwambia rais anahitaji maendeleo flani kwenye jimbo na akasikilizwa? kwa kifupi kati ya watu hawa wawili nani ana convinvicing power kwa rais. tunapiga kura lakini the ultimate goal ni kupata maendeleo na si kukomoana na nongwa. Hebu tuangalieni ultimate goal ya kumchagua mtu na tuweke pembeni mambo mengine.
Mbona Kawe Alumni hayupo kwenye list hapo? Hii list ni batili. Huyu dogo alijiwekeza sana hapo kawe.
Huyu Furaha bila kuogopa kutaja Nani mshindi hapo kawe, Namtangaza kuwa yeye ndiye mshindi Kwa Kura za maoni,Weeee Kuna Mama huyoo anaitwa Furaha Dominic Jacob na Benjamin Sitta
Mayalla vipi mkuu?Mashiniji chaliii!
Mzee inafika sehem apumzike sasa.Huko Bariadi hakuna kijana kichaa kama Kibajaji. Manake wasomi kama hawa wanakuwa awaangushwi na wasomi na wazee wenzao!!
Kura 1Mayalla vipi mkuu?
Jina lake halisi ni nani?
Matokeo baas wadau?Furaha Dominic 102 [-+]
Anjela Kiziga 84 [+-]
Askofu Josephat Gwajima 79[+-]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] jaman alidhan kawe n JF? LOLKura 1
Mayala kapata kura mojaMbona mayalla simsikii kunani tena...