Chanel 10 mna roho mbaya ilipofika kura za Gwajima kuhesabiwa mkatoa matangazo mkaanza kujadili yenu mnarudi kura za Gwajima zilishatangazwa nini sasa maana ya LIVE? Live ni kuona zoezi linavyoendelea sio kuangalia sura zenu au kuwasikilizeni nyie tu? Tajeni Gwajima kapata ngapi kwa nini mli skip kutangaza live kura za Gwajima?
 
Jimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...

Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
 
Achana nae porn star mkuu...... 🤣🤣
 
Unazungumzia umaarufu na sio uwezo binafsi

Ww unadhani mdee alishinda kawe kwa umaarufu?
 
Jimbo la kawe mpaka asimame mwanaume na sio mwanamke
Mbona 2015 mwanaume Kippi warioba alipigwa chini,Hapo usalama wao ccm ili washinde uchaguzi lazima wamuweke mtu mwenye ushawishi kwa wananchi
 
Yule Chalii aliye bebwa na Chadema akaunga juhudi kapata ngapi?? Simuoni kwenye list hapo[emoji108]
 
Sio kirahisi hivyooooooh
 
Kama unataka kumuna gwaji nenda porn hub yupo live
 
Upo sahihi mkuu, Gwajima anapaswa kupewa nafasi achuane na Mdee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…