Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Chanel 10 mna roho mbaya ilipofika kura za Gwajima kuhesabiwa mkatoa matangazo mkaanza kujadili yenu mnarudi kura za Gwajima zilishatangazwa nini sasa maana ya LIVE? Live ni kuona zoezi linavyoendelea sio kuangalia sura zenu au kuwasikilizeni nyie tu? Tajeni Gwajima kapata ngapi kwa nini mli skip kutangaza live kura za Gwajima?
 
Jimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...

Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
 
Chanel 10 mna roho mbaya ilipofika kura za Gwajima kuhesabiwa mkatoa matangazo mkaanza kujadili yenu mnarudi kura za Gwajima zilishatangazwa nini sasa maana ya LIVE? Live ni kuona zoezi linavyoendelea sio kuangalia sura zenu au kuwasikilizeni nyie tu? Tajeni Gwajima kapata ngapi kwa nini mlis skip kutangaza live kura za Gwajima
Achana nae porn star mkuu...... 🤣🤣
 
Jimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...

Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
Unazungumzia umaarufu na sio uwezo binafsi

Ww unadhani mdee alishinda kawe kwa umaarufu?
 
Mkoa wa Kigoma
Kasulu Vijijini

Augustine Vuma 266 (alikuwa mbunge anayemaliza muda wake)
Agripina Buyogera 97
Samson F. Kabogo 70
Betola Juma Kulikiza 46
Emanuel T. Msasa 26
Yona P. Msongwa 21
Adam P. Mkuyu 20
Prof. Hudson Nkotagu 18
Leonard L. Nyanzira 11
Gibson Bunyaga 10

Kwa hiyo Augustine Vuma ameongoza kutetea Ubunge katika Jimbo aliloliwakilisha.

Buyungu
Kamamba 50
Msakila 47
Gwegenyeza 44
Eng. C. Chiza 33

Kwa hiyo Eng. Christopher Chiza ameshika nafasi ya 4 kwenye Jimbo alilokuwa mbunge

Buhigwe
Dr. Philip Mpango 297
Obama 76
Yule Chalii aliye bebwa na Chadema akaunga juhudi kapata ngapi?? Simuoni kwenye list hapo[emoji108]
 
Jimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...

Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
Sio kirahisi hivyooooooh
 
Chanel 10 mna roho mbaya ilipofika kura za Gwajima kuhesabiwa mkatoa matangazo mkaanza kujadili yenu mnarudi kura za Gwajima zilishatangazwa nini sasa maana ya LIVE? Live ni kuona zoezi linavyoendelea sio kuangalia sura zenu au kuwasikilizeni nyie tu? Tajeni Gwajima kapata ngapi kwa nini mli skip kutangaza live kura za Gwajima?
Kama unataka kumuna gwaji nenda porn hub yupo live
 
Jimbo kama la kawe, kamati kuu inabidi iwe makini sana!! Mtu anaweza akashinda ndani ya chama lakini hana mvuto kwa wananchi!! Kumshinda Mdee inabidi apatikane mtu mwenye uwezo wa kuchukua kura kwa CCM na CHADEMA. Kwa kawe, Gwajima anafaa sana nikilinganisha na wengine...

Mdee ataondoka asubuhi na mapema...
Upo sahihi mkuu, Gwajima anapaswa kupewa nafasi achuane na Mdee.
 
Back
Top Bottom