hawana akili hao wapiga kura, yaani unamuacha mtu mwenye PhD halafu unachagua mtu mwenye utata wa elimu?!.Kigamboni;
Dungulile 69
Makonda 316
Kigamboni;
Dungulile 69
Makonda 316
Ni ngumu Makonda kukatwaHahaa ,mmemsikia katibu lkn!
Kasema kupata kura nyingi haina maana umepitishwa kuwa mgombea[emoji23][emoji848] duh mwaka huu
JESUS IS LORD[emoji120]
Makonda hoyeeeeh, Kwa dar kwenye majimbo akuna wa kushindana na Makonda. Makonda ni jina kubwa.Haya sasa wale wenye chuki binafsi na bashite mnazungumziaje hili
Ndugulile aliwatelekeza wana Kigamboni. PhD haidetermine uongozi bora.hawana akili hao wapiga kura, yaani unamuacha mtu mwenye PhD halafu unachagua mtu mwenye utata wa elimu?!.
kweli kupata maendeleo afrika ni ndoto
Waliowatelekeza SIO waliowaterekezaWapo Madiwani, Wabunge wakiaminiwa na Wananchi kwa Gharama kubwa ikiwamo uhai lakini hao Jamaa waliziba masikio na Kuhamia Chama tawala kwa vipande 30 vya fedha ili Wapate uhakika wa kusimamishwa wagombea 2020.
Mpaka sasa MTULIA kule Kinondomi chaliii, Laana ya Usaliti haijawahi kuwa Na baraka.
Yes!Wadau msisahau kura za leo ni kutoa mapenekezo ya majina 3 kwa halimashauri kuu. Lakini halimashauri ndo inaamua nani awe mgombea. Wanaangalia hayo majina 3, lakini wanaangalia pia list ya watia nia wote kwenye jimbo husika. Hivyo msipoteze usingizi kabla Magu hajawapa majina ya wagombea.
Huyu Jamaa hamna kitu kabisa, ila imetokea tu kupendwa na wana-KigamboniKuna wabunge wengine kama hawapo ville,me ndo nimeskia juzjuzi wakat wa Corona kuwa jamaa ndo wa kigamboni
Tumaini letu linabaki kwa ZZK kama atagombea Kigamboni. Wanakigamboni mmetuangusha sana!Kigamboni;
Dungulile 69
Makonda 316
Hahaa,kwani waitara hakuchukua fomu?Lijuakali hatopita,yatamkuta yalomkuta Mtulia. Waitara aliusoma mchezo.
Kigamboni Makonda 316Kigamboni ngoja tusubiri