Hahaa ,mmemsikia katibu lkn!
Kasema kupata kura nyingi haina maana umepitishwa kuwa mgombea[emoji23][emoji848] duh mwaka huu

JESUS IS LORD[emoji120]
Ni ngumu Makonda kukatwa
 
Waliowatelekeza SIO waliowaterekeza
 
Yes!

JESUS IS LORD[emoji120]
 
Kuna wabunge wengine kama hawapo ville,me ndo nimeskia juzjuzi wakat wa Corona kuwa jamaa ndo wa kigamboni
Huyu Jamaa hamna kitu kabisa, ila imetokea tu kupendwa na wana-Kigamboni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…