Uchaguzi 2020 Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
Yes!

JESUS IS LORD[emoji120]

Kama Kigamboni bwana yule kapeta, sasa naanza kuamini maneno ya Kigogo2014 wa twitter...kuwa bwana yule anaenda kupewa nafasi nyeti, na possibly mrithi rasmi 2025.

Ikiwa na ukweli "wale wazee vetting" sijui watsemaje??!!
 
Kama Kigamboni bwana yule kapeta, sasa naanza kuamini maneno ya Kigogo2014 wa twitter...kuwa bwana yule anaenda kupewa nafasi nyeti, na possibly mrithi rasmi 2025.

Ikiwa na ukweli "wale wazee vetting" sijui watsemaje??!!
Mmmh! Labda kwa uteuzi wa viti maalum.
 
Tulia ackson akiwa na mzigo wake wa kura, sugu jiandae
IMG_20200720_145120.jpg
 
Back
Top Bottom